Stellenbosch ni hatari zaidi wakiwa ugenini

Stellenbosch ni hatari zaidi wakiwa ugenini

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Hawa Stellenbosch ambao ni wapinzani wa Simba katika hatua ya nusu fainali ya CAFCC inaonyesha ni timu inayojua sana kucheza kimkakati wakiwa ugenini. Ni kama ina zile sifa kama za Al Hilal ya Ibenge, wanakuacha ucheze ila wakishakupiga kimoja hauchomoi ng'o.

Hizi ni rekodi za msimu huu za mechi walizoshinda wakiwa ugenini katika mashindano mbalimbali.

17/08/24 - Nsingizini 0-3 (CAFCC)
28/08/24 - Mamelodi 0-1
18/10/24 - AmaZulu 1-2
23/10/24 - Chipa Utd 0-2
01/12/24 - Orlando 0-1
15/12/24 - Lunda Sul 0-1 (CAFCC)
23/01/25 - AmaZulu 0-5
18/02/25 - TS Galaxy 2-3
04/05/25 - Gallants 0-1
16/05/25 - Sekhukhune 1-2
09/04/25 - Zamalek 0-1 (CAFCC)

Ili Simba iwe kwenye nafasi nzuri ya kumtoa Stellenbosch inabidi iwe na matumizi mazuri sana ya nafasi. Kwa uwepo wa Mpanzu, sina wasiwasi na utengenezaji wa nafasi, shida inakuja zitatumika vizuri?

Pia wanaweza kusuka mpango maalum wa kumkaba Mpanzu, je kina Kibu, Ahoua, Mukwala na Ateba wanaweza kujiongeza?

Hawa Stellenbosch hawako vizuri sana wakiwa nyumbani kwao. Bado hawajajenga ile "mentality" ya "nyumbani kwao hatoki mtu". Simba ikipata ushindi hata wa 2-0 kule Zanzibar basi ina nafasi kubwa ya kuvuka kwenda fainali.
 
Acha kelele mashindano ya shirikisho yaani UMISETA ambayo Kaduguda aliyaita mashindano ya akina mama

Tuko busy na katiba mpya
 
Kumbuka bila Kibu Mkandaji, game ya Al Ahly Tripoli tusingetoboa.
 
Hawa Stellenbosch ambao ni wapinzani wa Simba katika hatua ya nusu fainali ya CAFCC inaonyesha ni timu inayojua sana kucheza kimkakati wakiwa ugenini. Ni kama ina zile sifa kama za Al Hilal ya Ibenge, wanakuacha ucheze ila wakishakupiga kimoja hauchomoi ng'o.

Hizi ni rekodi za msimu huu za mechi walizoshinda wakiwa ugenini katika mashindano mbalimbali.

17/08/24 - Nsingizini 0-3 (CAFCC)
28/08/24 - Mamelodi 0-1
18/10/24 - AmaZulu 1-2
23/10/24 - Chipa Utd 0-2
01/12/24 - Orlando 0-1
15/12/24 - Lunda Sul 0-1 (CAFCC)
23/01/25 - AmaZulu 0-5
18/02/25 - TS Galaxy 2-3
04/05/25 - Gallants 0-1
16/05/25 - Sekhukhune 1-2
09/04/25 - Zamalek 0-1 (CAFCC)

Ili Simba iwe kwenye nafasi nzuri ya kumtoa Stellenbosch inabidi iwe na matumizi mazuri sana ya nafasi. Kwa uwepo wa Mpanzu, sina wasiwasi na utengenezaji wa nafasi, shida inakuja zitatumika vizuri?

Pia wanaweza kusuka mpango maalum wa kumkaba Mpanzu, je kina Kibu, Ahoua, Mukwala na Ateba wanaweza kujiongeza?

Hawa Stellenbosch hawako vizuri sana wakiwa nyumbani kwao. Bado hawajajenga ile "mentality" ya "nyumbani kwao hatoki mtu". Simba ikipata ushindi hata wa 2-0 kule Zanzibar basi ina nafasi kubwa ya kuvuka kwenda fainali.
Sisi Simba Tunashukuru sana kwa angalizo hili.Tunafanyia kazi kwa karibu sana takwimu hizo.Tunaamini kupitia watu wema kama nyinyi mnatusaidia kuvuka.

Simba #Nguvumoja#
 
Hawa Stellenbosch ambao ni wapinzani wa Simba katika hatua ya nusu fainali ya CAFCC inaonyesha ni timu inayojua sana kucheza kimkakati wakiwa ugenini. Ni kama ina zile sifa kama za Al Hilal ya Ibenge, wanakuacha ucheze ila wakishakupiga kimoja hauchomoi ng'o.

Hizi ni rekodi za msimu huu za mechi walizoshinda wakiwa ugenini katika mashindano mbalimbali.

17/08/24 - Nsingizini 0-3 (CAFCC)
28/08/24 - Mamelodi 0-1
18/10/24 - AmaZulu 1-2
23/10/24 - Chipa Utd 0-2
01/12/24 - Orlando 0-1
15/12/24 - Lunda Sul 0-1 (CAFCC)
23/01/25 - AmaZulu 0-5
18/02/25 - TS Galaxy 2-3
04/05/25 - Gallants 0-1
16/05/25 - Sekhukhune 1-2
09/04/25 - Zamalek 0-1 (CAFCC)

Ili Simba iwe kwenye nafasi nzuri ya kumtoa Stellenbosch inabidi iwe na matumizi mazuri sana ya nafasi. Kwa uwepo wa Mpanzu, sina wasiwasi na utengenezaji wa nafasi, shida inakuja zitatumika vizuri?

Pia wanaweza kusuka mpango maalum wa kumkaba Mpanzu, je kina Kibu, Ahoua, Mukwala na Ateba wanaweza kujiongeza?

Hawa Stellenbosch hawako vizuri sana wakiwa nyumbani kwao. Bado hawajajenga ile "mentality" ya "nyumbani kwao hatoki mtu". Simba ikipata ushindi hata wa 2-0 kule Zanzibar basi ina nafasi kubwa ya kuvuka kwenda fainali.
Acha!!😮😦
 
Back
Top Bottom