DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
Hawa Stellenbosch ambao ni wapinzani wa Simba katika hatua ya nusu fainali ya CAFCC inaonyesha ni timu inayojua sana kucheza kimkakati wakiwa ugenini. Ni kama ina zile sifa kama za Al Hilal ya Ibenge, wanakuacha ucheze ila wakishakupiga kimoja hauchomoi ng'o.
Hizi ni rekodi za msimu huu za mechi walizoshinda wakiwa ugenini katika mashindano mbalimbali.
17/08/24 - Nsingizini 0-3 (CAFCC)
28/08/24 - Mamelodi 0-1
18/10/24 - AmaZulu 1-2
23/10/24 - Chipa Utd 0-2
01/12/24 - Orlando 0-1
15/12/24 - Lunda Sul 0-1 (CAFCC)
23/01/25 - AmaZulu 0-5
18/02/25 - TS Galaxy 2-3
04/05/25 - Gallants 0-1
16/05/25 - Sekhukhune 1-2
09/04/25 - Zamalek 0-1 (CAFCC)
Ili Simba iwe kwenye nafasi nzuri ya kumtoa Stellenbosch inabidi iwe na matumizi mazuri sana ya nafasi. Kwa uwepo wa Mpanzu, sina wasiwasi na utengenezaji wa nafasi, shida inakuja zitatumika vizuri?
Pia wanaweza kusuka mpango maalum wa kumkaba Mpanzu, je kina Kibu, Ahoua, Mukwala na Ateba wanaweza kujiongeza?
Hawa Stellenbosch hawako vizuri sana wakiwa nyumbani kwao. Bado hawajajenga ile "mentality" ya "nyumbani kwao hatoki mtu". Simba ikipata ushindi hata wa 2-0 kule Zanzibar basi ina nafasi kubwa ya kuvuka kwenda fainali.
Hizi ni rekodi za msimu huu za mechi walizoshinda wakiwa ugenini katika mashindano mbalimbali.
17/08/24 - Nsingizini 0-3 (CAFCC)
28/08/24 - Mamelodi 0-1
18/10/24 - AmaZulu 1-2
23/10/24 - Chipa Utd 0-2
01/12/24 - Orlando 0-1
15/12/24 - Lunda Sul 0-1 (CAFCC)
23/01/25 - AmaZulu 0-5
18/02/25 - TS Galaxy 2-3
04/05/25 - Gallants 0-1
16/05/25 - Sekhukhune 1-2
09/04/25 - Zamalek 0-1 (CAFCC)
Ili Simba iwe kwenye nafasi nzuri ya kumtoa Stellenbosch inabidi iwe na matumizi mazuri sana ya nafasi. Kwa uwepo wa Mpanzu, sina wasiwasi na utengenezaji wa nafasi, shida inakuja zitatumika vizuri?
Pia wanaweza kusuka mpango maalum wa kumkaba Mpanzu, je kina Kibu, Ahoua, Mukwala na Ateba wanaweza kujiongeza?
Hawa Stellenbosch hawako vizuri sana wakiwa nyumbani kwao. Bado hawajajenga ile "mentality" ya "nyumbani kwao hatoki mtu". Simba ikipata ushindi hata wa 2-0 kule Zanzibar basi ina nafasi kubwa ya kuvuka kwenda fainali.