Status zina display akili na ujinga wa mtu uliomo humo kichwani mwakeBinafsi sijawahi kuona Ina maana gani hasa kwa mtu ambae hufanyi business yoyote.
Unakutana na mambo ya ajabu mpaka unajiuliza ndo huyu aliyeweka?
Mimi na ushabiki wote huu mpira huwa sipost status..Hata na wao wanakushangaa/ kukudharau. Binti gani na mipira..
Kuna rafiki angu mmoja, nikipost mpira anakwazika mno. Na hafichi, ananambia kabisa kwamba namchefua. Nikimwambia basi usinifungue, anadai ni lazima aangalie status zote.
Ukiona mtu anapangia wenzake namna ya kuishi ili hali hawajavunjaKupàngiana maisha, kitu ambacho wewe hupendi wenzio wanapenda and vice versa... tuishi humo
Hahaaaa, nahisi watu tuna changamoto nyingi na uwezo wa kukabiliana nayo nafikiri pia ni changamoto nyingine, mpaka mtu anaweza kitu/status too personal kwa public!Hakuna watu ninaowadharau kama wanaoweka mafumbo status au wale wenye stress wanapost.
Kupitia hayo huwa najua pa kuchora mstari kwa watu wa aina hiyo.
Unakarobia kustaafu etiMambo yaliyonishinda kweny kutumia simu;
1.kuweka picha yangu kama wallpaper ya simu
2.kuweka status za kupost Birthday za watu
3.kupiga picha kweny sherehe au sehemu za starehe
4.kupiga picha za vikundi kama wachezaji wa mpira haswa kweny event za kiofisi siwezi kabisa.
Kweny pc yangu;
1.kuweka picha kama wallpaper ya pc
Eti lazima aangalie status zote nimechekaa...mwambie hizo sio shida zako 😆 😆Hata na wao wanakushangaa/ kukudharau. Binti gani na mipira..
Kuna rafiki angu mmoja, nikipost mpira anakwazika mno. Na hafichi, ananambia kabisa kwamba namchefua. Nikimwambia basi usinifungue, anadai ni lazima aangalie status zote.
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣😂😂🤣🤣😂🤣WhatsApp Status ilifanya nimuache demu mmoja wa uswahilini, nime chart nae kwa mesej za kawaida kaniambia ni mzima baada ya dakika mbili nakuta kaweka Status eti anaumwa mi nika View alafu nikakausha baada ya kama ya nusu saa ananiambia eti mi simjali kisa nimeona kaweka Status anaumwa alafu nimemkaushia
Nikamwambie usiniletee drama zako nikaushie fata mambo yako
Utotomkuu utakuwa una sura mbaya kiufupi huvutii na hela huna ni maon tu au we unaonaje??
Na kuna watu wanashangaa mwanamke kupenda mpira. Msichagulie watu style za maisha. Mimi sijawahi kuweka status ila siwashangaiMimi nikiandika status ni mambo ya mpira tu.
Mambo ya watu yanakuuma nini,Uliwazaa,una undugu nao,unawapa pesa za kula,unasaidia watoto wake shuleBinafsi sijawahi kuona Ina maana gani hasa kwa mtu ambae hufanyi business yoyote.
Unakutana na mambo ya ajabu mpaka unajiuliza ndo huyu aliyeweka?
Wabongo huwa wanajipaga kazi. Za kufuatilia watu...wengine kujiona wao wako busy na akili nyingi..Na kuna watu wanashangaa mwanamke kupenda mpira. Msichagulie watu style za maisha. Mimi sijawahi kuweka status ila siwashangai
Ana msongo wa mawazo..Mambo ya watu yanakuuma nini,Uliwazaa,una undugu nao,unawapa pesa za kula,unasaidia watoto wake shule
Jikite na maisha yako acha umbea na utoto nani anakutuma kusoma maana yake wewe una kizabizabina
Shame upon yourself
Sawa sawaMimi jana nimeweka status za mke wangu akiwa na wenzake hukooo.....wakifurahia siku yao ..
Mwenye wivu ajinyonge.