Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

Haya maisha ukijifanya uko serious sana utaishi kwa masononeko sana enjoy life have funy status imegeuza utaratibu wa zamani wa kukaa na kupiga soga which hata mababu zetu walifanya binafsi mwenye negative thoughts juu ya status haendani na maendeleo ya technologia na ni tabia za kiajuza coz wazee wapo wanao enjoy kuview status za watu wao. Ukikataa njoo unipige mawe
 
Mm Huwa naweka clips za vichekesho tu tena ni moja tu haizidi mb 2 na ni mara 2 jumamosi na jumapili tu, Huwa nashangaa unakuta mtu kaweka status hazipungui 5 tena zote ni video alafu ni za ajabu mpaka unashangaa.

Kuna jamaa mmoja ni Dr nilikuwa namuheshimu sana siku Simba amekula 5 kutoka kwa Yanga kaweka status picha ya kuku mwekundu anapandwa na jogoo wa njano, nikamdharau Toka siku hiyo maana binafsi kabla sijapost status Huwa naangalia mfano hii video akaiona Mzee wangu, aunt yangu au mtu yyte ninayeheshimiana nae atanichukukiaje.
😅😅Utani wa jadi huo
 
Inategemea unapost nini na Kwa lengo gani .

Binafsi nisipo post lazima WATU wanitafute , maana kuna kitu huwa natoa chenye positivity.
criadormaloka-cor-1706956960878.jpeg
 
Mbona uwekaji au usomaji wa status ni moja ya njia za kufikisha tu ujumbe kwa mtu au watu wanaozi-view na zipo nyingi tu ambazo zinaelemisha au kuburudisha. Ni moja ya njia ya kujumuika na jamii japo kuna status nyingine zinakera. Hakuna sababu ya kuyafanya maisha kuwa magumu kiasi hicho.
 
Mbona uwekaji au usomaji wa status ni moja ya njia za kufikisha tu ujumbe kwa mtu au watu wanaozi-view na zipo nyingi tu ambazo zinaelemisha au kuburudisha. Ni moja ya njia ya kujumuika na jamii japo kuna status nyingine zinakera. Hakuna sababu ya kuyafanya maisha kuwa magumu kiasi hicho.
Hii comment ifunge huu uzi..umemaliza kila kitu
 
Kuna jamaa mmoja ni Dr nilikuwa namuheshimu sana siku Simba amekula 5 kutoka kwa Yanga kaweka status picha ya kuku mwekundu anapandwa na jogoo wa njano, nikamdharau Toka siku hiyo maana binafsi kabla sijapost status Huwa naangalia mfano hii video akaiona Mzee wangu, aunt yangu au mtu yyte ninayeheshimiana nae atanichukukiaje.
Hahaaa.. umenichekesha hapo kwenye kuku kupandwa.

Ila kwa haya maandishi nimegundua kuna uwezekano mkuu wewe bado mdogo ndio maana una insecurity za kawaida sana.
 
Status zangu hata ujifanye kauzu vipi.. ukishaview tu mara mbili au tatu inakuwa ni ulevi.. lazima ukifinguq whatsapp yako utakimbilia kuona nimeweka nini siku ya leo..


Kitu ambacho siwezi kuweka Status ni MAISHA yangu Binafsi pia hata picha zangu etc huwa hazionekan huko..

Kingine, kati ya contacts zangu 89 nimeruhusu watu 25 tu waone nachoweka huko.
Na huu bado ni uwoga/insecurity au utoto.
Kwanini upost vitu unavyohisi kuna baadhi ya watu wasingependa kuviona na wewe hauko tayari waone?
Don't hide jitahid upost vitu unavyohis yeyote akiona ni fine kwa upande wako.
DUNIA HAINA SIRI.

Japo na Mimi huwa nikipost biashara zangu nahide Wazee wasione wakaninyima mgao wangu kwa kigezo cha kua najimudu🤣 Japo siuzi bangi.
 
Back
Top Bottom