Status za Nacte jamani msaada..

Status za Nacte jamani msaada..

dnsHyr75

Member
Joined
Jun 13, 2019
Posts
60
Reaction score
19
kuna ambao wanasema selection zimetoka na wengine bado,ila kwangu mimi bado au kuna mahali nakosea au ndo nimetoswa hivo jamani???... nawasilisha!!
 
Ndio selection zilisha toka mm mwenyewe wamenitumia msg kuwa nimechaguliwa, japo kuwa kwa upande wa vyuo vya afya sina taarifa rasmi
 
kuna ambao wanasema selection zimetoka na wengine bado,ila kwangu mimi bado au kuna mahali nakosea au ndo nimetoswa hivo jamani???... nawasilisha!!
Mkuu kuwa mpole ila uliomba vyuo gani na ufaulu wako ukoje tuanze na hili kwanza
 
Unaweza Ku login, kwenye account yako?kuna taarifa gani?
yani kulog in haina shida ila unakuta kwamba congratulations,you have reached end of application process........hivo yani...sijui ndo bye bye...kwani ukikosa si pia wanakupa taarifa?
 
Ndio selection zilisha toka mm mwenyewe wamenitumia msg kuwa nimechaguliwa, japo kuwa kwa upande wa vyuo vya afya sina taarifa rasmi
Hata kwa Afya tayari pia zimeanza kutoka
 
yani kulog in haina shida ila unakuta kwamba congratulations,you have reached end of application process........hivo yani...sijui ndo bye bye...kwani ukikosa si pia wanakupa taarifa?
Okkkk sawa,endelea kusubiri.huwazinatolewa Taratibu na ikiwa umekosa utajulishwa.Kila la kheri.....
 
Hii ratiba yao vipi?
IMG_20190906_102219.jpeg
 
Back
Top Bottom