Polisi ndo zao, yaani kwa sasa sina imani nao kabisa, wenyewe wanapigika na maisha vibaya sana, wanaishi kwenye vijumba vya bati, ushahidi ni nyumba za askari pale Osterbay, wakipewa hongo kidogo tu basi wanajisahau na kuishia kuua watu wasio na hatia, 2015 ni mwisho wa ubabe wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.