Stashangaa washabiki wa CCM na JK kufanya yafuatayo!!! SOMA NA TAKAFAKARI


Mkuu Ruta,

Tutawalaumu sana NEC kwa kuchakachua lakini ukweli unabaki palepale wananchi wengi sana wameipigia kura CCM, na hii inadhihirishwa zaidi na uwingi wa wabunge wa CCM.

Ni kweli wengi sana watalaumu ila kuchukua hatua hawawezi. Watanzania wengi wanachukulia vyama kiunazi zaidi bila kuangalia sera na vision ya chama; kuna watz wengi pia wana mitazamo ya kidini, i am afraid wengi mtakataa lakini hilo lipo.

Angalia distribution ya kura hapa Tanzania you will know what i am talking about.
 

Sisi wataalamu wa policy huwa tunasema kile unachokiona kwa macho kama fujo, ghasia, watoto wa mitaani, kukosekana kwa maji, n.k is not a problem yale ni matokeo ya problem. Sasa tunafanya research kuona problem hasa ni nini.

Kwa hiyo inatupasa kutafuta kiini cha zile vurugu za Mwanza ili tuweze kutafuta ufumbuzi na sio kulaumu tu CHADEMA.
 
After all Chadema si ni watu? NI watu ndio walifanya fujo na hao ndio peoples power
 
kwa kwel kuna watu wamejitolea kuwa meno ya wenzao kutafuna nchi_mana hata uwaelimishe vp ni kwenda kinyume cha maumbile ya kuumbwa kwao_kama unapo yakataza meno kutafuna n.k_ni suala la kuoneana huruma unapoña ndg yako akil zake ni za uwezo huo
 
mjadala unaondelea wa posho umenikumbusha mbali jinsi nilivyosema awali kuwa "Sitashangaa" naona mambo yanajitokeza. hapo kwenye Blue mambo yameanza kujitokeza, sasa hivi walio wengi tunalalamikia posho ya kukaa (sitting allowance) kwa viongozi, na wanaolalamika baadhi yao waliipigia kura CCM.
mungu atusaidie
 
kinachoendelea sasa kuhusu kuongeza posho za wabunge hadi 200,000Tsh na kuongeza mishahara ya baraza la wawakilishi linanikumbumusha post hii ya November 2010 (hasa hapo kwenye red hapo juu)
 
Ukiwauliza wana-CCM wenyewe kuhusu hali ya nchi na viongozi wake; wnakiri wazi wazi kuwa walifanya makosa makubwa kuwapa watawala wa leo nchi hii - Rejea Kikao cha NEC-CCM kilichopita. Kwa wale wanaofatilia kwa karibu mambo ya hiki chama cha zamani watakubaliana nasi. Ni dhahiri akiba ya fedha za Serikali imeyumba sana (Wakati Awamu ya nne inaingia madarakani ilikuta hazina kubwa ya Fedha, JK aliwahi kukiri hili waziwazi),
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…