Stashangaa washabiki wa CCM na JK kufanya yafuatayo!!! SOMA NA TAKAFAKARI

Tatizo hapa ni kuwa hatujui hata kama kweli tuwalaumu hawa watu kwa sababu hatujui hata kama kweli walikipigia kura CCM au ni NEC imetupandikizia JK na askari wake wa kimamluki kutuongoza isivyo halali na kinyume cha sheria.......kutokana na mazingira haya siyo kosa kuwapigajeki jamaa hawa walalahoi wa CCM kwa sababu hata wao ni waathirika wa mfumo kandamizi wa CCM na JK wake...............

Mkuu Ruta,

Tutawalaumu sana NEC kwa kuchakachua lakini ukweli unabaki palepale wananchi wengi sana wameipigia kura CCM, na hii inadhihirishwa zaidi na uwingi wa wabunge wa CCM.

Ni kweli wengi sana watalaumu ila kuchukua hatua hawawezi. Watanzania wengi wanachukulia vyama kiunazi zaidi bila kuangalia sera na vision ya chama; kuna watz wengi pia wana mitazamo ya kidini, i am afraid wengi mtakataa lakini hilo lipo.

Angalia distribution ya kura hapa Tanzania you will know what i am talking about.
 
Wewe unachotaka ni kwamba watu wafanye VURUGU na FUJO zisizo maana?

MWANZA MJINI, Ilemela na Nyamagana; wakati KURA zinahesabiwa; WANACHADEMA walifanya uharibifu wa mali; hivi huo ni uungwana? Kisa cha Vurugu hizo? Ni barua iliyochakachuliwa na Dk Slaa [Cheki thread ya Dk Slaa amechakachua Barua]. Do you really want people to demonstrate againstthe VOTE of MAJORITY?

Mahitaji ya maendeleo siku zote yatakuwepo, hata atawale nani hapa; hakuna atakaegeuza TZ pepo. Wananchi wamefanya chaguo lao; walipofanya hivyo walijua kuwa kuna wengine; bali waliamua kumchagua JK kwa kuwa waliona ndio best of the contestants.

Vyama vyote vimekubaliana na matokeo kasoro CHADEMA. sasa ni nani Un Democratic?

Please mates!

Sisi wataalamu wa policy huwa tunasema kile unachokiona kwa macho kama fujo, ghasia, watoto wa mitaani, kukosekana kwa maji, n.k is not a problem yale ni matokeo ya problem. Sasa tunafanya research kuona problem hasa ni nini.

Kwa hiyo inatupasa kutafuta kiini cha zile vurugu za Mwanza ili tuweze kutafuta ufumbuzi na sio kulaumu tu CHADEMA.
 
Sisi wataalamu wa policy huwa tunasema kile unachokiona kwa macho kama fujo, ghasia, watoto wa mitaani, kukosekana kwa maji, n.k is not a problem yale ni matokeo ya problem. Sasa tunafanya research kuona problem hasa ni nini.

Kwa hiyo inatupasa kutafuta kiini cha zile vurugu za Mwanza ili tuweze kutafuta ufumbuzi na sio kulaumu tu CHADEMA.
After all Chadema si ni watu? NI watu ndio walifanya fujo na hao ndio peoples power
 
kwa kwel kuna watu wamejitolea kuwa meno ya wenzao kutafuna nchi_mana hata uwaelimishe vp ni kwenda kinyume cha maumbile ya kuumbwa kwao_kama unapo yakataza meno kutafuna n.k_ni suala la kuoneana huruma unapoña ndg yako akil zake ni za uwezo huo
 
uchaguzi ndo huo umeisha na CCM kuingia madarakani kupitia kura za wananchi na pia kufanya ujanja maeneo kadhaa.

Kama kawaida yetu tutasahau haraka na maisha kuendelea na wananchi kuanza kulalamikia hali mbali ya maisha..

mimi sitashangaa yafuatayo kutokea:


  1. Sitashangaa wananchi washabiki wa CCM kusikitishwa na uteuzi wa nafasi mbalimbali utakaofanywa na JK... utasikia wanasema du kawaweka maswahiba wake
  2. sitashangaa wananchi washabiki wa CCM kulalamikia rushwa kushamiri Tanzania .. kama kwamba walikosa mbadala wa kumweka uongozini kupambana na rushwa kwa umakini zaidi ..
  3. sitashangaa wananchi mashabiki wa CCM kuanza kulalamikia hali ngumu ya maisha.. ngoja nitoe scenario moja: chadema wana sera ya elimu bure hadi kidato cha sita (6) kama si chuo kikuu. lakini sitashangaa walioinyima kura Chadema kuanza kuja kwako kukupigia magoti kuomba msaada wa kifedha ili apate ada ya kumpeleka mtoto sekondari.
  4. Sitashangaa wananchi washabiki wa CCM waliokuwa wanavaa sare na kucheza kama hawana akili nzuri wakati wa mikutano ya kampeni kuendelea kuwa katika hali zao duni............ why? kwa sababu serikali imeshindwa kuwa visionary
  5. Sitashangaa wananchi mashabiki wa CCM kuendelea kuishi katika nyumba za mbavu za mbwa (kama ile tuliyooneshwa wakati wa kampeni ikiwa na bango la JK) wakati wamekataa kumpigia kura Dr. Slaa aliyekuwa ameahidi kushusha bei ya saruji (cement) ili wananchi walio wengi waweze kujenga nyumba imara na bora
  6. sitashangaa wanachi mashabiki wa CCM kuendelea kulalamikia ukosefu wa dawa hospitalini..
  7. Sitashangaa wananchi mashambiki wa CCM kuendelea kulalamikia vitendo vya rushwa mahakamani na polisi
  8. sitashangaa wananchi na mashabiki wa CCM kuendelea kulalamikia utendaji mbovu wa idara mbalimbali za serikali (kumbuka jinsi Clouds walivyokuwa wanachambua utendaji mbovu wa idara mbalimbali e.g. EWURA, DAWASCO, TANESCO lakini wakawa vuvuzela wa CCM wakati wa uchaguzi)
  9. Sitashangaa wapenzi wa CCM kulalamikia mishahara wanayopata na wakati huo huo kulalamikia posho kubwa za viongozi
  10. sitashangaa watu hawa kuvaa ma- Tshirt, kofia na kanga 2015 kushangilia na kushabikia CCM wakati wa uchaguzi mwingine
kutokana na hili naomba tushirikiane pamoja kuzidi kutoa elimu ya uraia, ipo siku yatabadilika ... "YANA MWISHO" (nukuu toka kitabu cha KULI)
mjadala unaondelea wa posho umenikumbusha mbali jinsi nilivyosema awali kuwa "Sitashangaa" naona mambo yanajitokeza. hapo kwenye Blue mambo yameanza kujitokeza, sasa hivi walio wengi tunalalamikia posho ya kukaa (sitting allowance) kwa viongozi, na wanaolalamika baadhi yao waliipigia kura CCM.
mungu atusaidie
 
uchaguzi ndo huo umeisha na CCM kuingia madarakani kupitia kura za wananchi na pia kufanya ujanja maeneo kadhaa.

Kama kawaida yetu tutasahau haraka na maisha kuendelea na wananchi kuanza kulalamikia hali mbali ya maisha..

mimi sitashangaa yafuatayo kutokea:


  1. Sitashangaa wananchi washabiki wa CCM kusikitishwa na uteuzi wa nafasi mbalimbali utakaofanywa na JK... utasikia wanasema du kawaweka maswahiba wake
  2. sitashangaa wananchi washabiki wa CCM kulalamikia rushwa kushamiri Tanzania .. kama kwamba walikosa mbadala wa kumweka uongozini kupambana na rushwa kwa umakini zaidi ..
  3. sitashangaa wananchi mashabiki wa CCM kuanza kulalamikia hali ngumu ya maisha.. ngoja nitoe scenario moja: chadema wana sera ya elimu bure hadi kidato cha sita (6) kama si chuo kikuu. lakini sitashangaa walioinyima kura Chadema kuanza kuja kwako kukupigia magoti kuomba msaada wa kifedha ili apate ada ya kumpeleka mtoto sekondari.
  4. Sitashangaa wananchi washabiki wa CCM waliokuwa wanavaa sare na kucheza kama hawana akili nzuri wakati wa mikutano ya kampeni kuendelea kuwa katika hali zao duni............ why? kwa sababu serikali imeshindwa kuwa visionary
  5. Sitashangaa wananchi mashabiki wa CCM kuendelea kuishi katika nyumba za mbavu za mbwa (kama ile tuliyooneshwa wakati wa kampeni ikiwa na bango la JK) wakati wamekataa kumpigia kura Dr. Slaa aliyekuwa ameahidi kushusha bei ya saruji (cement) ili wananchi walio wengi waweze kujenga nyumba imara na bora
  6. sitashangaa wanachi mashabiki wa CCM kuendelea kulalamikia ukosefu wa dawa hospitalini..
  7. Sitashangaa wananchi mashambiki wa CCM kuendelea kulalamikia vitendo vya rushwa mahakamani na polisi
  8. sitashangaa wananchi na mashabiki wa CCM kuendelea kulalamikia utendaji mbovu wa idara mbalimbali za serikali (kumbuka jinsi Clouds walivyokuwa wanachambua utendaji mbovu wa idara mbalimbali e.g. EWURA, DAWASCO, TANESCO lakini wakawa vuvuzela wa CCM wakati wa uchaguzi)
  9. Sitashangaa wapenzi wa CCM kulalamikia mishahara wanayopata na wakati huo huo kulalamikia posho kubwa za viongozi
  10. sitashangaa watu hawa kuvaa ma- Tshirt, kofia na kanga 2015 kushangilia na kushabikia CCM wakati wa uchaguzi mwingine
kutokana na hili naomba tushirikiane pamoja kuzidi kutoa elimu ya uraia, ipo siku yatabadilika ... "YANA MWISHO" (nukuu toka kitabu cha KULI)
kinachoendelea sasa kuhusu kuongeza posho za wabunge hadi 200,000Tsh na kuongeza mishahara ya baraza la wawakilishi linanikumbumusha post hii ya November 2010 (hasa hapo kwenye red hapo juu)
 
Ukiwauliza wana-CCM wenyewe kuhusu hali ya nchi na viongozi wake; wnakiri wazi wazi kuwa walifanya makosa makubwa kuwapa watawala wa leo nchi hii - Rejea Kikao cha NEC-CCM kilichopita. Kwa wale wanaofatilia kwa karibu mambo ya hiki chama cha zamani watakubaliana nasi. Ni dhahiri akiba ya fedha za Serikali imeyumba sana (Wakati Awamu ya nne inaingia madarakani ilikuta hazina kubwa ya Fedha, JK aliwahi kukiri hili waziwazi),
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom