hata mie nimeona alichoandika ni wivu 2 unaowasumbua media nying za dar zinapoona star tv wanapewa mashavu.. Wao wenyewe cloudz walionysha game ya yanga na zamalek ina maana cloudz iliwapa sh ngap zamalek? Uzur wa Azam wanataka kuwa profesinal hawatak siasa za mpira ndo maana bakhresa haon hatar kutoa pesa ili game za Azam zilushwe live bila kujali ataingza sh.ngap. Anajua lengo ni wachezaj kuonekana mbal ili auze nje ya nchi vilevle soka le2 bdo lina siasa nying ndo mana maswala ya haki ya kurusha game live linasuasua sasa ndo maana bakhresa kaona hamna haja ya kuwasubili yeye kaamua kuuza game zake startv. Halaf shaffi dauda atambue hakuna tv yenye vifaa bora Tanzania ka startv ndo maana hata w2 wa supaspot wakijaga bongo wanashare vifaa vyao.