Startimes

Startimes

Chrisludos

Senior Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
135
Reaction score
41
Mimi ni mtumiaji wa king'amuzi cha Startimes,japo sijalipia package yoyote kwa muda wa miezi 3 kwani ni muangaliaji wa local channels zaidi na labda uchumi unachangia.
TATIZO
Kwa muda wa wiki moja sasa napata TBC1 pekee,tatizo ni nini?Naomba mwenye kufahamu anijuze,kwani hata katika channel list zimebaki channel chache japo sina access nazo na local ndo hazipo kabisa.
 
wachinawamestuka wanapata hasara kwa ajili yako

Sidhani kama nina makosa,kwani kulipia ni hiyari..ni moja ya maswali wengi tulijiuliza kabla ya kuingia digitali!
Jibu likawa LOCAL CHANNELS HAZIUZWI.
 
mkuu, cha kwangu kina miezi kadhaa hakionyeshi chochote,ila ukizima na kukiwasha baada ya kama dakika tano kinaonyesha kwa kama sekunde 30 halafu kinaandika NO SERVICE,nimeshawapigia simu startimes mara nyingi lakini hawajanipa solution yoyote zaidi ya kuniambia niende kwenye ofisi zao ambapo hata nilipokwenda waliishia kuniuzia antenna ya nje,na bado haijasaidia lolote Star times ni wezi!!
 
Last edited by a moderator:
mkuu, cha kwangu kina miezi kadhaa hakionyeshi chochote,ila ukizima na kukiwasha baada ya kama dakika tano kinaonyesha kwa kama sekunde 30 halafu kinaandika NO SERVICE,nimeshawapigia simu startimes mara nyingi lakini hawajanipa solution yoyote zaidi ya kuniambia niende kwenye ofisi zao ambapo hata nilipokwenda waliishia kuniuzia antenna ya nje,na bado haijasaidia lolote Star times ni wezi!!

Hovyo sana hawa wachina...
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mtumiaji wa king'amuzi cha Startimes,japo sijalipia package yoyote kwa muda wa miezi 3 kwani ni muangaliaji wa local channels zaidi na labda uchumi unachangia.
TATIZO
Kwa muda wa wiki moja sasa napata TBC1 pekee,tatizo ni nini?Naomba mwenye kufahamu anijuze,kwani hata katika channel list zimebaki channel chache japo sina access nazo na local ndo hazipo kabisa.
Are you certain kwamba antenna positioning ipo sawa? haija-move even for an inch? haijazuiwa na kitu chochote hata kama kwa mbali kidogo ambacho hapo zamani hakikuwepo (especially kama ni indoor antenna?)!
 
Mimi ni mtumiaji wa king'amuzi cha Startimes,japo sijalipia package yoyote kwa muda wa miezi 3 kwani ni muangaliaji wa local channels zaidi na labda uchumi unachangia.
TATIZO
Kwa muda wa wiki moja sasa napata TBC1 pekee,tatizo ni nini?Naomba mwenye kufahamu anijuze,kwani hata katika channel list zimebaki channel chache japo sina access nazo na local ndo hazipo kabisa.

Badili uelekeo wa antena afu search upya auto.
 
mkuu, cha kwangu kina miezi kadhaa hakionyeshi chochote,ila ukizima na kukiwasha baada ya kama dakika tano kinaonyesha kwa kama sekunde 30 halafu kinaandika NO SERVICE,nimeshawapigia simu startimes mara nyingi lakini hawajanipa solution yoyote zaidi ya kuniambia niende kwenye ofisi zao ambapo hata nilipokwenda waliishia kuniuzia antenna ya nje,na bado haijasaidia lolote Star times ni wezi!!

Badili position ya antena tu kwisha habari yake.
 
Hovyo sana hawa wachina...

angalia antennae yako....mimi nakitumia hicho bila mikwaruzo....sasa hivi naangalia NBA TV inaonekana kama HD VERY VERY CLEAR chnl 627 portland vs brooklyn....nahamisha channel startv nawatch news.....
 
Back
Top Bottom