Startimes wanataka tulipie kuangalia hata TBC?

Startimes wanataka tulipie kuangalia hata TBC?

Jamani mambo ya startimes yamezidi kua hovyo kwelikweli.
Jana nimeishiwa kifurushi katika king'amuzi changu cha startimes cha ajabu channels zote mapaka TBC hazishiki, channel inayoshika ni Startimes guide peke yake.
Hivi ni sahihi kulipia mpaka TBC? hapa startimes wanachemka sasa yaani ukiishiwa kifurushi TV inabidi uizime?
TCRA sijui kama wametusahau au kuna nini

Nilipoona mambo yamekua hivyo nikawapigia customer care, wananiambia nisipolipia basi hataTBC sitaangalia aisee huu ni utaratibu mpya au ni kwangu tu
hama nunua dishi la free satellite channel hutalipia chochote na utaone chanel Zaidi ya 300.bure maisha
 
Yaani star times wa hovyo Sana. Local Channel pia zilipiwe. Wahovyo najuta kukinunua hiki kidude
 
Naona ' unajinyegesha ' mwenyewe Kwangu.
tapatalk_1489745648171.jpeg
 
Jamani mambo ya startimes yamezidi kua hovyo kwelikweli.
Jana nimeishiwa kifurushi katika king'amuzi changu cha startimes cha ajabu channels zote mapaka TBC hazishiki, channel inayoshika ni Startimes guide peke yake.
Hivi ni sahihi kulipia mpaka TBC? hapa startimes wanachemka sasa yaani ukiishiwa kifurushi TV inabidi uizime?
TCRA sijui kama wametusahau au kuna nini

Nilipoona mambo yamekua hivyo nikawapigia customer care, wananiambia nisipolipia basi hataTBC sitaangalia aisee huu ni utaratibu mpya au ni kwangu tu
Sio star times tu ving'amuz vyote kaka,halafu vip hiki king'amz kwenyw mvua kinaonyesha au kinakata
 
guide ni matangazo tu. mimi wamenichosha. nikirudi naweka flash nasikiliza music. Maisha yanaenda. na Hali ilivyokuwa ngumu hivi uanze kulipia
Hata mimi silipi ng'ooo
Nahamia kwenye kusikiliza music nikiwa bored naangala movie tu.
 
Tatizo ubahili umekubali. Nunuaeni free to air unazipata zote na za ziada unapata
 
Jamani mambo ya startimes yamezidi kua hovyo kwelikweli.
Jana nimeishiwa kifurushi katika king'amuzi changu cha startimes cha ajabu channels zote mapaka TBC hazishiki, channel inayoshika ni Startimes guide peke yake.
Hivi ni sahihi kulipia mpaka TBC? hapa startimes wanachemka sasa yaani ukiishiwa kifurushi TV inabidi uizime?
TCRA sijui kama wametusahau au kuna nini

Nilipoona mambo yamekua hivyo nikawapigia customer care, wananiambia nisipolipia basi hataTBC sitaangalia aisee huu ni utaratibu mpya au ni kwangu tu
siku hizi
tbc 1
etv
tabibu
mlimani t
swahili africa
wrm
tv1 ni bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom