Startimes wanataka tulipie kuangalia hata TBC?

Startimes wanataka tulipie kuangalia hata TBC?

Jamani mambo ya startimes yamezidi kua hovyo kwelikweli.
Jana nimeishiwa kifurushi katika king'amuzi changu cha startimes cha ajabu channels zote mapaka TBC hazishiki, channel inayoshika ni Startimes guide peke yake.
Hivi ni sahihi kulipia mpaka TBC? hapa startimes wanachemka sasa yaani ukiishiwa kifurushi TV inabidi uizime?
TCRA sijui kama wametusahau au kuna nini

Nilipoona mambo yamekua hivyo nikawapigia customer care, wananiambia nisipolipia basi hataTBC sitaangalia aisee huu ni utaratibu mpya au ni kwangu tu
njoo pm mikupe mauujanja
 
Jamani mambo ya startimes yamezidi kua hovyo kwelikweli.
Jana nimeishiwa kifurushi katika king'amuzi changu cha startimes cha ajabu channels zote mapaka TBC hazishiki, channel inayoshika ni Startimes guide peke yake.
Hivi ni sahihi kulipia mpaka TBC? hapa startimes wanachemka sasa yaani ukiishiwa kifurushi TV inabidi uizime?
TCRA sijui kama wametusahau au kuna nini

Nilipoona mambo yamekua hivyo nikawapigia customer care, wananiambia nisipolipia basi hataTBC sitaangalia aisee huu ni utaratibu mpya au ni kwangu tu
TCRA na STAR TIMES wote ni matapeli, wanasema kitu hiki wanafanya kitu kile. Hii ndiyo awamu ya tano
 
hama nunua dishi la free satellite channel hutalipia chochote na utaone chanel Zaidi ya 300.bure maisha

ndg mfano bado nina lile la mediacom ila liko huko juu miaka sasa halijatumika je inawezekana kulifufua likafanya tena kazi.
 
Wengine ni bure kwa tv zote za ndani
Na pia tunaangalia za.magharibi na moja ya michezo sport life
 
Ataita mafundi mpk lichakae...Na kama ana mke ajiandae kumtoa sadaka kwa hao mafundi.
wala halina tatizo ila kwa sasa star TV haionekani kwenye dish ila TV zingine zote unaona , ila TV 1 pia hawaonekani.
 
Mwisho wa mwezi huu situmii tena Startimes nawahama rasmi
 
Wapenda dezo utawajua tuu, bila kulipa unadhani watagharamia vipi urushaji wa matangazo via satelite, kulipia gharama kama maji, Umeme,mishahara, simu, nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom