Startimes kunani?

Startimes kunani?

Mkaa Mweupe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2007
Posts
654
Reaction score
185
Ndugu wanajamvi,

Nimeshangazwa na king'amuzi cha startimes kujiupdate na kuondoa star tv, itv na eatv. Je hii ni kwangu tu au ndio mpango mzima?
 
Kwangu ilikuwa hivo wamerudisha. Wanaboa kwelikweli.
 
Wao ndio king'amuzi cha taifa halafu wanatybania wananchi. Haya mambo ya kisambuzi yanaboa sana.
 
Poleni wenye startimes,sijawahi kuwaza kuwa na hiki kisimbus.
 
Startimes ndio nini ? Mambo siku hizi iko AZAM. Hata DStv changu kiko sokoni.

Twasubiri la liga na mechi za Liverpool kwa bei poa kabisa.
 
Ndugu wanajamvi,

Nimeshangazwa na king'amuzi cha startimes kujiupdate na kuondoa star tv, itv na eatv. Je hii ni kwangu tu au ndio mpango mzima?

Siku izi hakuna cha bure. Weka buku uone zote zitarudi.
 
Nina decoder ya continental yaani najutaa kununua hili takataka hakuna channel za maana zaidi ya local Tv . pia hakina ubora kabisa ktk pichaa...
 
Nina decoder ya continental yaani najutaa kununua hili takataka hakuna channel za maana zaidi ya local Tv . pia hakina ubora kabisa ktk pichaa...

Mimi ninaifurahia bure kupitia Azam.
 
Hao ndio wawekezaji wa kichina!

Kuna wengine kjirani zangu wanauza Spare za Pkpk. JK bhana tutakukumbuka sana!!
 
Hata mimi imeondoa ITV, Star TV na ETV na ni karibu wiki sasa. Nina mpango wa kuachana nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom