Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,180
Ata mimi nimeangalia Saiv apa kua wataonesha Bure sijui wataanza lini kutekelezaNdio wametangaza jioni hii ITV Tanzania, jioni hii, sasa sijuwi lini itatekelezwa...
Ata mimi nimeangalia Saiv apa kua wataonesha Bure sijui wataanza lini kutekelezaNdio wametangaza jioni hii ITV Tanzania, jioni hii, sasa sijuwi lini itatekelezwa...
Mkuu lakini hilo tangazo lao sio jipya, walishawahi kutangaza hivyo hivyo zaidi ya mara ya nne katika nyakati tofauti tofauti lakini hakuna kipya kilitokea.Leo wametangaza rasmi, jumla ya Channels 5 zitakuwa bure, uwe umelipia au la, utatazama bure mkuu...
Nahisi itakuwa tofauti sasa, kama ujuavyo mambo yanavyoendeshwa, wanajifanya kuwajibika...yetu macho..Mkuu lakini hilo tangazo lao sio jipya, walishawahi kutangaza hivyo hivyo zaidi ya mara ya nne katika nyakati tofauti tofauti lakini hakuna kipya kilitokea.
Ninakumbuka kwa mara ya kwanza kabisa TCRA walitangaza kwa mbwembwe sana hilo la Channel za bure mwaka 2012, lakini utekelezaji wake ukabakia kuwa hadithi za wendawazimu.
kweliiiiiiiLeo wametangaza rasmi, jumla ya Channels 5 zitakuwa bure, uwe umelipia au la, utatazama bure mkuu...
Asante MUNGU. na nilivyokuwa mchaga wa kulipia ChanelAta mimi nimeangalia Saiv apa kua wataonesha Bure sijui wataanza lini kutekeleza