Start From Now: I'm CCM, Real CCM

Ukiwa ccm sisi inatuhusu nini?
 
Nonsense
 
Wakati unaandika hii kitu ulikuwa umemeza zile dawa zako ulizopewa kule ktk Hosp. ile maarufu kwa akina AGWE kweli? Naona dawa hizo zinakukataa jiandae sasa kuwa chizz kamili.
 
Unao ushahidi wa mtumishi anae tumia cheti bandia?
Kama unao wasilisha kwa waziri husika, sio blaa blaa unazopiga humu.
 
Wa kongwe wa JF wananitambua.

Kabla ya kubadili ID hii nilikuwa natumia ID nyingine ambayo ulikuwa hukosi thread kila siku kuipaisha chadema humu, uzi wangu ulikuwa gumzo humu.
Bashite mkubwa wewe
 

Kama ni demokrasia unataka tukusaidie nini?
 
Wakati unaandika hii kitu ulikuwa umemeza zile dawa zako ulizopewa kule ktk Hosp. ile maarufu kwa akina AGWE kweli? Naona dawa hizo zinakukataa jiandae sasa kuwa chizz kamili.
Kijana msomi, embu jenga hoja kwa kuweka hoja.
Achana na hizi taarabu ambazo zimejaa Chadema.

Sasa hapo umeandika nini?
Hivi mpo serious kushika dola kweli?
 
2005 CCM 81% , 2010 CCM 61% , 2015 CCM 56% , 2020 .....load
 
Vipi umeasi kambi ?
 
Nge.ke we teuzi zishaisha...sana sana utapangiwa kazi ya kufagia vyoo lmb

Ova
 
Wa kongwe wa JF wananitambua.

Kabla ya kubadili ID hii nilikuwa natumia ID nyingine ambayo ulikuwa hukosi thread kila siku kuipaisha chadema humu, uzi wangu ulikuwa gumzo humu.
Mi ni mkongwe hapa na sikutambui
 
Hongera sana. Sisi wengine sio wanachama wa chama chochote cha siasa ila busara zinaonesha umefanya uamuzi sahihi
 
Imeshindwa kuona ubinafsi Wa Ccm kk
 
Kweli, bora ukae huko kwa mambumbumbu wenzako. Mimi nilipoona "News alert" nilijua itakuwa ni habari kubwa na mpya. Kumbe siyo! Hujaitendea haki jamii forum ambayo ni uwanja wa kuelimisha, kuhabarisha na kujadili masuala nyeti ya Taifa. Shame on you!
k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…