kapotolo JF-Expert Member Sep 19, 2010 3,727 2,214 Jan 17, 2011 #1 Taifa Stars a.k.a JK eleven, wameshindwa hata kupata milioni 40 za mshindi wa tano baada ya kuchapwa na Sudan 2 - 0. Tunaweza nini wandugu? sio tetesi jamani ni kweli, sorry kwa neno tetesi
Taifa Stars a.k.a JK eleven, wameshindwa hata kupata milioni 40 za mshindi wa tano baada ya kuchapwa na Sudan 2 - 0. Tunaweza nini wandugu? sio tetesi jamani ni kweli, sorry kwa neno tetesi
P Paul S.S JF-Expert Member Aug 27, 2009 6,402 3,242 Jan 17, 2011 #3 Naanza kupata wasi wasi na uwezo wa kocha wetu ktk mashindano siriazi, nahisi tunarudi nyuma kama ilivyokuwa kabla ya maximo.
Naanza kupata wasi wasi na uwezo wa kocha wetu ktk mashindano siriazi, nahisi tunarudi nyuma kama ilivyokuwa kabla ya maximo.