Hizo siyo gari mkuu mimi hata milioni kweli sinunui kabisa.
kweli watu wa mikoani mna tabu kweli? starlet million 5 ndio bei ya kutupa?
Hizo siyo gari mkuu mimi hata milioni kweli sinunui kabisa.
Ipo katika hali nzuri kabisa.
Alarm sytem
Remote key less
etc
Sababu ya kuuza: Nimeagiza gari nyingine
Bei: Tshs 5,000,000
Jinsi ya kuiona: Jtatu hadi Ijumaa MWANZA
JUMAMOSI NA JUMAPILI SHINYANGA
PM kama unahitaji
check picha hapa chini
Ss kuna mark 2 gx 100 iko poa kw m4 na kistalet m5 huu c wiz wa machon.du man ucione watu wa mikoani ni vipofu. Ukiingia B foward ukicheki magar bei poaaa utastaajabu.hiyo M5 unaagira rava4
Ss kuna mark 2 gx 100 iko poa kw m4 na kistalet m5 huu c wiz wa machon.du man ucione watu wa mikoani ni vipofu. Ukiingia B foward ukicheki magar bei poaaa utastaajabu.hiyo M5 unaagira rava4
Toka nimejiumga JF miaka mingi ilopta sijawah ona pumba hiiSs kuna mark 2 gx 100 iko poa kw m4 na kistalet m5 huu c wiz wa machon.du man ucione watu wa mikoani ni vipofu. Ukiingia B foward ukicheki magar bei poaaa utastaajabu.hiyo M5 unaagira rava4
Duh...............Mkuu labda 400,000