Starehe yako ni ipi?

Starehe yako ni ipi?

Oooh hallelujah tunafanana mm napenda zile gospel za live band, na tamthilia
Hakuna starehe nzuri kama kuingia church moyo hauna hatia then kumuabudu Mungu hadi Mbingu na utukufu ni kama vimeshuka, unatoka job umechoka sana then unaingia gym piga zoezi la kueleweka jasho kila sehemu unakula then unaoga mwili na nafsi vinaungana hata ukilala unashtuka asubuhi yaani.
 
Ha ....

Anachambia Majani!


1568665695507.png
 
Starehe yangu ya kwanza ni kulala. Ya pili ni kunya hasa mavi yakiwa malaini utatamani yasiishe yawe yanatoka tu 😍
 
Ugomvi.. Napenda ugomvi lazima nikudunde au nirushie watu mawe na sikukosi nina shabaha Licha ya ulevi wangu
Kupiga makelele lazima usiku niimbe kwa sauti nisumbue watu
Kutukana watu yaani nikitoka bar lazima nitukane watu au niingie huku nitukane watu mfano we mtoa Mada nakutukana "hijo de puta "
Namalizia na pombee...hii ndo inanipa sababu ya kuishi
I love you pombe
Hivi huu mkoa wa Dar es salaam una mawe kweli au ni mkoa mwingine unazungumzia?
 
Back
Top Bottom