Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,735
- 27,098
Kula nyama,hili nieleweke iwe mbichi au yakupika mi sawa tuuh
Ok
ha ha ha ni hatari ikizidiKula nyama,hili nieleweke iwe mbichi au yakupika mi sawa tuuh
Hakuna starehe nzuri kama kuingia church moyo hauna hatia then kumuabudu Mungu hadi Mbingu na utukufu ni kama vimeshuka, unatoka job umechoka sana then unaingia gym piga zoezi la kueleweka jasho kila sehemu unakula then unaoga mwili na nafsi vinaungana hata ukilala unashtuka asubuhi yaani.
mimi hawakubahatika kunidanganya ivyoHa ha ha ha ha.....unajua wakoloni walituletea dini ili kutufanya tuwe wastaarabu?
Yeahha ha ha ha cha muhimu cha kuliwa kiwepo
Ha ha ha ha hii ni Afrika,tumia majani....
Naomba nikutoe movie
Hivi huu mkoa wa Dar es salaam una mawe kweli au ni mkoa mwingine unazungumzia?Ugomvi.. Napenda ugomvi lazima nikudunde au nirushie watu mawe na sikukosi nina shabaha Licha ya ulevi wangu
Kupiga makelele lazima usiku niimbe kwa sauti nisumbue watu
Kutukana watu yaani nikitoka bar lazima nitukane watu au niingie huku nitukane watu mfano we mtoa Mada nakutukana "hijo de puta "
Namalizia na pombee...hii ndo inanipa sababu ya kuishi
I love you pombe
Mimi sio mwanaume wa darHivi huu mkoa wa Dar es salaam una mawe kweli au ni mkoa mwingine unazungumzia?
Sawa, ila mimi sijamsema kama wewe ni mwanaume wa dar au wapi mkuu.Mimi sio mwanaume wa dar