wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Sema kunyaKupuu ile kubwa
Sema kunyaKupuu ile kubwa
Tueleze mkuu..Haya.
ha ha ha haHapa watajaa K-VANT SPECIAL FORCE
ha ha ha ha ha pigilia misumari ya kutoshaYaani siwezi pita siku bila ya kugegeda , labda wife awe period na hivyo ataenda na blow job
Yaani mm ni kutafuta tu style mpya daily
ha ha ha ha safari vipiSavanaaaa!
Nakupa pongezi kwa hilo
ha ha ha mwili utaoza mkuu...ipo siku ya kulala forever,sasa hivi inabidi kubanjuka tukulala
Kwa nini uwakwaze wenzako mkuu?kupigana na kukorofishana na watu bila ivyo siishi kwa amani
Iko powa sanaNapenda sana kusikiliza Music.. Hasa nyimbo za kale za wasanii wa Tanzania, Reggae na Mchiriku.
huo si uungwana mkuuKugombana tuuu
huwa sipendi starehe za kunifanya niwe busy mambo ya kuruka ruka me walaa. zaidi napenda kucheza game pia. kusikiliza mziki na kucheki movie na footballha ha ha mwili utaoza mkuu...ipo siku ya kulala forever,sasa hivi inabidi kubanjuka tu
ha ha ha ha halafu akiwa amechuchumaa nyoka anaingia.....Hiyo Hapo View attachment 1209267
Ni kweli kabisa unajiwekea makazi mema peponiHakuna starehe nzuri kama kuingia church moyo hauna hatia then kumuabudu Mungu hadi Mbingu na utukufu ni kama vimeshuka, unatoka job umechoka sana then unaingia gym piga zoezi la kueleweka jasho kila sehemu unakula then unaoga mwili na nafsi vinaungana hata ukilala unashtuka asubuhi yaani.
Ha ha ha haKupuu ile kubwa
Yote ni kuburudika mkuuEnzi zangu ilikuwa Billicanas na Mambo Club siku hizi Tips,Samaki samaki Masaki na Kidibwi
Ha ha haha unaweza kupindisha maamuzi ofisiniWalevi wenzangu ukiwa ofisini chukua bia weka kwenye mfuko wa ndani wa koti la suti alafu chukua mrija nyonya tungi taratibu Utapata raha na steam isiyoumiza
Ahhhh nakupenda GAMBE
ha ha ha ha angalia wasije wakakupiga chupa machoniUgomvi.. Napenda ugomvi lazima nikudunde au nirushie watu mawe na sikukosi nina shabaha Licha ya ulevi wangu
Kupiga makelele lazima usiku niimbe kwa sauti nisumbue watu
Kutukana watu yaani nikitoka bar lazima nitukane watu au niingie huku nitukane watu mfano we mtoa Mada nakutukana "hijo de puta "
Namalizia na pombee...hii ndo inanipa sababu ya kuishi
I love you pombe
Ni kweli ni garama lakini wamewekewa watu mkuu,cha muhimu ni mipango