Starehe yako ni ipi?

Starehe yako ni ipi?

baba TCA Nadhani Bar yangu ya mwisho kutembelea ilikuwa ni Qbar na sikujutia kabisa, kwa vile Maisha club imehama mahala hapo hii Bar walau itakuwa inafanya biashara labda.
 
ha ha ha mwili utaoza mkuu...ipo siku ya kulala forever,sasa hivi inabidi kubanjuka tu
huwa sipendi starehe za kunifanya niwe busy mambo ya kuruka ruka me walaa. zaidi napenda kucheza game pia. kusikiliza mziki na kucheki movie na football
 
Hakuna starehe nzuri kama kuingia church moyo hauna hatia then kumuabudu Mungu hadi Mbingu na utukufu ni kama vimeshuka, unatoka job umechoka sana then unaingia gym piga zoezi la kueleweka jasho kila sehemu unakula then unaoga mwili na nafsi vinaungana hata ukilala unashtuka asubuhi yaani.
Ni kweli kabisa unajiwekea makazi mema peponi
 
Walevi wenzangu ukiwa ofisini chukua bia weka kwenye mfuko wa ndani wa koti la suti alafu chukua mrija nyonya tungi taratibu Utapata raha na steam isiyoumiza

Ahhhh nakupenda GAMBE
Ha ha haha unaweza kupindisha maamuzi ofisini
 
Ugomvi.. Napenda ugomvi lazima nikudunde au nirushie watu mawe na sikukosi nina shabaha Licha ya ulevi wangu
Kupiga makelele lazima usiku niimbe kwa sauti nisumbue watu

Kutukana watu yaani nikitoka bar lazima nitukane watu au niingie huku nitukane watu mfano we mtoa Mada nakutukana "hijo de puta "

Namalizia na pombee...hii ndo inanipa sababu ya kuishi

I love you pombe
ha ha ha ha angalia wasije wakakupiga chupa machoni
 
Back
Top Bottom