Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,154
- 55,648
Baada ya miangaiko yangu ya hapa na pale,huwa naenda maeneo yenye utulivu na kupata moja moto moja baridi,na kama nitapata nafasi najaribu kuosha macho hapa na pale kwa kuangalia maua ya dunia yanavyopendezesha mji.Najua kila mmoja ana starehe zake,eleza za kwako.......