mjukuu acha kejeli,
Mtu ni maamuzi yake
hivi unajua Yesu alikuja kwa ajiri ya akina nani? kama wewe ni mwema au mtakatifu basi Yesu hakuja kwa ajiri yako.
Alikuja kwa ajiri ya wezi,wanyanganyi,wachawi,walevi,wazinzi,waasherati ,wafisadi na wenye tabia kama za hivyo
sasa wewe kama unaanza kumnyooshea mwenzako basi kwanza jiangalie wewe mwenyewe .
Kama unamlaumu huyu dada basi unamlaumu Yesu na Aliyemleta Mungu.