Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
nimefikiri sana, jambo ambalo ni gumu sana kukubalika na CHADEMA, BADALA YA KUMUWEKA slaa awe mgombea, muwekeni lipumba na chadema wote na cuf mpigieni kampeni lipumba, tutaweza kumshinda kabisa magufuli, ila tukigawana kura kama kiwete alivyokuwa anasema jana, lipumba atachukua zake chache chadema chache na nyingi watabaki nazo kina maccm. chukueni ushauri huu. mimi ni chadema lakini nimefikiri sana namna gani tunaweza kumvunja shingo huyo nyoka anayeitwa ccm, nikaona bora tujifanye wajinga tu tumpe profesa.