Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live


so unamaanisha Waislam ni wadhaifu?
na Wakristo ni waelewa? faizafoxy njoo uone huku........
 
Mkuu unajisumbua bure Chadema hawawezi kukubali bora kila mtu aingie kivyake kwenye uchaguzi wapate kura mbili mbili.

Kwani lazima cdm wakubali? kwa nn isiwe cuf wakubali kuwaachia cdm?
 
Kwani Ukawa Ndo Chadema? Nijibuni Make Mi Ni Mgeni Kwenye Nnji Hii
 
so unamaanisha Waislam ni wadhaifu?
na Wakristo ni waelewa? faizafoxy njoo uone huku........
ndio, ni wadhaifu na mdhaifu wa kwanza ni huyohuyo faizafoxy, wana udhaifu mkubwa sana wa kuvumiliana. wako tayari wampigie mtu asiyefaa kuliko kumpigia kkafiri, ndio maana nikasema bora tukubali yaishe tumweke lipumba ili waridhike na tuungane nao kuwachapa ccm.
 
Tell us where the problem? Ni vema kuamua mapema, maamuzi mabaya siku ya mwisho ni hatari sana.
 
Me nawaomba wakija waje vizuri wasituangushe!
 
Ushauri wangu katika nafasi ya mgombea mwenza wamchukue yule waziri wa sheria aliyejiuzulu kisha kuhamia CUF
 

Kwa kumtoa Lowassa CCM mwaka huu kitakuwa chama cha upinzani
 
Dedication kwa UKAWA

UKAWA wataisoma namba,wataisona namba CCM mbele kwa mbele.......!
Waache waandamane,watasaga rami CCM mbele kwa mbele.....
Cc Dr.W.Slaa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…