Ni vema unayelalamika ukawasiliana na wahusika wa chombo husika ili kupata ufafanuzi kwa sababu vyombo hivi vinafanya kazi kibiashara zaidi, ndiyo maana hata magazeti ukiangalia mlengo wa habari kila chombo kinaegemea chama au mgombea fulani, sababu ya chombo kuegemea upande mmoja na siyo upande mwingine kila mmoja anazijua.
Ndiyo maana hivi sasa magazeti kama MAWIO na RAIA MWEMA huhitaji kuuliza habari zake zina mbeba mgombea gani. Na kila chombo kuna kundi la watu linafurahia habari zake. Kitu cha kuumizi vichwa ni chombo kipi kinawafuatiliaji wengi ambao kila mara watakuwa wana jazwa taarifa za aina moja, maana kila mtu anaupenzi wa chombo fulani cha habari. Mgombea anayanadiwa na vyombo ambavyo mtandao wake ni mdogo ataumia zaidi ya yule anayenadiwa na chombo chenye mtandao mkubwa zaidi, kwa sababu mpokeaji taarifa atakuwa analishwa taarifa za mgombea ambaye chombo husika kinamnadi.
Nashangaa pia,kwanin matangazo ya kumkampenia magufuli wamuweke lowassa na maneno ya Nyerere yanayokosoa mambo mbalimbali?Mwalimu akizungumzia wapumbavu basi wao wanamweka lowassa!Hii si sawa!TCRA kwanini hamuwachukulii hatua hawa?Kama ni tangazo la ccm kwanini wamuweke lowassa?
Mnazidi kutuonesha watanzania kuwa mnatumika!
Star tv inatumika kisiasa,haifai tenaaaa!
Tatizo ni kwa vyama kama CDM kukosa tv station yake au hata gazeti. Ni aibu kuona Slaa hajaacha chombo cha habari wala jengo la chadema muda wote wa uongozi wake! Unajiuliza mamilioni ya ruzuku yanaenda wapi? Hata miradi ya uwekezaji sidhani kama alibuni dr. Slaa. Apishe akina lowasa waimarishe cdm.
Nimekuwa nikiifuatilia Star TV kwa muda mrefu hata kabla mchakato wa uchaguzi haujaanza. Niliifurahia kwa sababu walikuwa wakiita wachambuzi ambao wanachambua kwa kutumia independent mind.
Toka mchakato wa uchaguzi uanze hii TV imeanza kupoteza credibility, wanaita wachambuzi huku wanawapangia nini cha kuongea, unawaona watu wazima wanaongea mambo ambayo hayapo kwenye nafsi zao. Nimejaribu kufanya utafiti kupata habari za ndani kulikoni, mtu mmoja aliyepata za ndani ni kwamba Star TV imelipwa na CCM kufanya upendeleo wa makusudi katika habari na uchambuzi wake. Mtu huyu ameenda mbali zaidi akasema wamehakikishiwa na CCM kwamba hata wakipigwa faini na TCRA kama walivyofanyiwa Magic FM na TBC CCM wako tayari kulipa faini!
Ni jambo lililo wazi kwamba Star TV inamilikiwa na kada wa CCM Diallo, hilo halina ubaya na ana uhuru wa kikatiba kufanya hivyo. Kinachosikitisha ni kujifanya wako balanced wakati sisi watazamaji tunag'amua. Katika nchi zilizoendelea baadhi ya vyombo vya habari huwa vina declare interest katika uchaguzi kwamba wanaunga mkono chama au mgombea fulani. Kwa hiyo nawashauri star TV watutangazie wazi kwamba katika mchakato huu wa uchaguzi wanaunga mkono CCM bila kificho, tutawaheshimu kwa hilo na hiyo ni sehemu ya demokrasia ya kweli.
Nawasilisha
Nimekuwa nikiifuatilia Star TV kwa muda mrefu hata kabla mchakato wa uchaguzi haujaanza. Niliifurahia kwa sababu walikuwa wakiita wachambuzi ambao wanachambua kwa kutumia independent mind.
Toka mchakato wa uchaguzi uanze hii TV imeanza kupoteza credibility, wanaita wachambuzi huku wanawapangia nini cha kuongea, unawaona watu wazima wanaongea mambo ambayo hayapo kwenye nafsi zao. Nimejaribu kufanya utafiti kupata habari za ndani kulikoni, mtu mmoja aliyepata za ndani ni kwamba Star TV imelipwa na CCM kufanya upendeleo wa makusudi katika habari na uchambuzi wake. Mtu huyu ameenda mbali zaidi akasema wamehakikishiwa na CCM kwamba hata wakipigwa faini na TCRA kama walivyofanyiwa Magic FM na TBC CCM wako tayari kulipa faini!
Ni jambo lililo wazi kwamba Star TV inamilikiwa na kada wa CCM Diallo, hilo halina ubaya na ana uhuru wa kikatiba kufanya hivyo. Kinachosikitisha ni kujifanya wako balanced wakati sisi watazamaji tunag'amua. Katika nchi zilizoendelea baadhi ya vyombo vya habari huwa vina declare interest katika uchaguzi kwamba wanaunga mkono chama au mgombea fulani. Kwa hiyo nawashauri star TV watutangazie wazi kwamba katika mchakato huu wa uchaguzi wanaunga mkono CCM bila kificho, tutawaheshimu kwa hilo na hiyo ni sehemu ya demokrasia ya kweli.
Nawasilisha
Mkuu wanalipia tangazo la picha ya lowassa akiwa na baasha? Au ni la magufulli?mkuu lile ni tangazo limelipiwa kama yanavyolipwa ya tigo na voda
Hapa NEC inahusika kuchukua hatua lakini mara nyingi huchukua hatua baada ya kupokea malalamiko.Nashangaa pia,kwanin matangazo ya kumkampenia magufuli wamuweke lowassa na maneno ya Nyerere yanayokosoa mambo mbalimbali?Mwalimu akizungumzia wapumbavu basi wao wanamweka lowassa!Hii si sawa!TCRA kwanini hamuwachukulii hatua hawa?Kama ni tangazo la ccm kwanini wamuweke lowassa?
Mnazidi kutuonesha watanzania kuwa mnatumika!
Star tv inatumika kisiasa,haifai tenaaaa!
Umeshawahi kumhoji Mbowe hayo maswali, maana Katibu Mkuu ni mwajiriwa tu?Tatizo ni kwa vyama kama CDM kukosa tv station yake au hata gazeti. Ni aibu kuona Slaa hajaacha chombo cha habari wala jengo la chadema muda wote wa uongozi wake! Unajiuliza mamilioni ya ruzuku yanaenda wapi? Hata miradi ya uwekezaji sidhani kama alibuni dr. Slaa. Apishe akina lowasa waimarishe cdm.