Kwanza tunashukuru Star RV kwa kuwa TV pekee Tanzania inayotuhabarisha habari mbalimbali za Tanzania sisi tulio Ughaibuni, hongereni sana kutujali tusio nyumbani. Pili, ni kwamba kwa siku kama tatu hadi nne hivi imekuwa inatoa picha tu lakini sauti haisikiki. Tunaomba fundi mitambo aliangalie hilo na kulifanyia kazi ili kuendelea kutuhabarisha yanayojiri