Umejuaje haipo maana waonekana huwa hutizami habari kama hiyo TV ishaisoma namba.. No longer at easy...
Kama ile hadithi ya mama aliyemtembelea mwanae chuo na kukuta room yake analala na mdada mzuri kweli... jamaa akajitetea kuwa ni room mate mwenzie tu na huwa hawalali pamoja kila mmoja analala Kitanda chake mother akatulia tu na kesho yake akondoka zake. yule binti akamuambia Rafiki wake kuwa kuna sahani imepotea tokea mama yake yule kaka Aondoke imepita wiki akiitafuta bila kuiona Demu akakaza kuwa Mama wa room mate ndie kaiba..
Jamaa akaandika barua kali kwa Mama yake kuwa kuna sahani imepotea tu tokea alipoondoka yeye.. mama nae akamjibu Mwanangu najua hamlali Kitanda kimoja na Huyo binti ila sahani sijaichukua bali Sahani niliiweka chini ya shuka kwenye Kitanda cha huyo Dada..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.