Hiyo migogoro ulileta wewe? Nadhani ulimsikia kwa makini Rais Dr Slaa alipohojiwa na EATV jioni ya leo.
Mkuu usipige kelele. Star TV ni mali ya mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza kwa hiyo ulitegemea iwapambe CHADEMA? Hiyo ni swa na Tanzania Daima kuipamba CCM..........
Mkuu: Yahaya utakuwa unamonea tu huu ni mpango wa Bosi wao Mwenye Phd feki Dialo kufifisha ukweli.Time will tell.
Ulimpa hiyo PhD feki???!!
Hiyo migogoro ulileta wewe? Nadhani ulimsikia kwa makini Rais Dr Slaa alipohojiwa na EATV jioni ya leo.
Chadema kuna mgogoro mkubwa sana, mkiuficha bila kuwekwa wazi na kubaini wapi kuna matatizo nchi hii hamtaiongoza na wapenzi wenu watakosa imani nanyi. ccm maugomvi yao yameanikwa ktk media wakayajua na wanayatatua kwa jinsi wanavyojua wao.Chadema bwana yani mnataka kubembelezwa kama mke..hata kwa mabayaa
mkuu umesema vema,nimeona tatizo upande wa cdm ni kutochukua ushauri wa wadau kwa haraka. Hivi kuna ugumu gani cdm kuanzisha media zao? Hakika chama hiki kitajutia kupoteza hii fursa adhimu iliyopata.Karibu wiki nzima sasa Star tv wamekua wakijaribu kukuza propaganda za kijinga zidi ya CHADEMA na kutengeneza kile wanacho ita migogoro ndani ya chama.
Kwenye taarifa zao za Habari hauwezi ukakosa habari ya kadi ya Slaa au kuwahoji wanao waita wanachama wa CHADEMA ili ionekane CHADEMA kuna migogro. Kisha baada ya hapo inafwata habari ya kuisifia CCM. Hao hao Star Tv wamekua na kipindi kila mwisho wa wiki kwenye kipindi cha tuongee asubuhi wamekua wakichambua weredi wa waandishi wa habari wa magazeti ,kumbe wao ni wanafki wakubwa.
Lakini hamta fanikiwa na njama zenu za kijinga kwani mabadiriko hayazuiwi kwa propaganda ...
My Take:
Muda umefika sasa na hatuhitaji kuomba tena tunakutaka J.J Mnyika uje hapa utuambie, CHADEMA itaanzisha lini vyombo vyake vya habari kwani tumechoka kulalamika.
tokea dialo achaguliwe nec(sina uhakika na mavyeo yao haya)amefika hadi hatua ya kuwavika misuti ya njano wasomaji wa taarifa za habari kwenye hiyo channel..duh
mfano lini????