Star tiiiiiiimes suuuuuucks

Star tiiiiiiimes suuuuuucks

tofali

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
4,010
Reaction score
3,422
Jameni tumechoka kunyanyaswaaa....yn huna raha na tv...unaangalia kitu ..mipicha inaganda ganda..nyambaaafu zenu eti serikali sikivu...sikivu my a..s s...rudishen analogiii
 
Nafuu mtambo wa zamani na signal ya 60/38... hii ya Makongo na signal 75/54 inaganda kama gundi!
 
Sijanunua hiyo nyotamuda (startimes) bado natafuta uzoefu kwenu eti inakuwaje!?
 
Tangu wamahamia makongo na TV nimeweka store. maana no signal no service. Wanatunyima haki yetu ya kupata habari na serekali yetu isiyosikia imekaa kimya!!!!!!!!!! hayawahusu wao wana DSTV. tutajiju na umaskini wetu.
 
Wapuuzi sanaaa.....huku ni kunyanyasana, li nchi la kibabe nabe tu...walitakiwa wafanye majaribio...imekua overloaded na mitambo yenywe mchina aagh
 
hii kitu inaudhi sana, yaani taarifa ya habari inaanza tuu, mambo yanakua NO signal zaidi ya nusu saa, ikirudi habari zimekwisha, mmh hata kama maendeleo yanagharama hii ni kubwa!!!! kweli ni wakati wa kuona nyota nyota kama jina lake lol!!
 
Dstv ndo solution 2. Tuongezeke ili multichoice watuongezee local channels kama tatu 2 zaidi. Wengine watajiju.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom