Stan Bakora aweka kipini kitovuni

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Aug 30, 2021
630
1,245
Mchekeshaji Stan Bakora ameingia kwenye trend baada ya kuonekana kwenye video akiwa na Sonara akitoboa kitovu chake na kuweka kipini.

Kitendo hicho kimezua mjadala kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii kutokana na utamaduni huo umezoeleka kufanywa na jinsia ya kike.

Website.jpg
 
Back
Top Bottom