The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Msanii Stamina ametoa album yake yenye nyimbo 13.
Kati ya hizo kuna wimbo unaitwa Nambie ameimba na Linah.
Kwenye wimbo kuna mstari wenye utata na maneno ya kejeli kwa Yesu.
Anaimba anasema "ukitaka mapenzi hayo,labda ukadeti na Yesu".
Hii ni sawa kweli wakuu??
Kati ya hizo kuna wimbo unaitwa Nambie ameimba na Linah.
Kwenye wimbo kuna mstari wenye utata na maneno ya kejeli kwa Yesu.
Anaimba anasema "ukitaka mapenzi hayo,labda ukadeti na Yesu".
Hii ni sawa kweli wakuu??
