Mara nyingi naanzaga pombe kali maana kichwa yangu ni ngumu ila lazima kuwe na nyama choma kunywaga kali bila nyama choma naona kama nalikaanga Ini vile.
Kingine huwa naanzaga kunywa bar za mbali then polepole naanza kuhamia viwanja vilivyo karibu na mitaa ya nyumbani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.