Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Tuendelee kujihadhari sana tunapoingia vibanda vya ATM hasa ukikuta mtu stranger
Hii ni simulizi.......
Nimeingia ATM nataka kutoa pesa anaingia mdada na kuniuliza maswali kadhaa, kwani unatoa fedh nyingi? kitu gani umekwama? nikamjibu hiyo haikuhusu ...nikaingiza kadi yangu ya VISA, najaribu kutoa fedha zinagoma ATM inajibu Transaction declined,
Nikaenda ATM nyingine hali ikawa hivyo hivyo, nikatumia kadi yangu nyingine kutoa pesa nikagundua salio limechotwa sana
Nilipopiga simu benki wakaniamba hizo fedha zilitolewa kwa mafungu ATM fulani, hivyo niende tawi la karibu, nilipofika natoa kadi NAYO siyo ile yangi kwani pale a kwanza nilipokosa nilichomoa tu na kuondoka........na kadi yenyewe mpya kabisa tena ikionesha ni maalum kwa utapeli, bado naendelea kufuatilia................
Kwa sababu uchunguzi unaendele sitaweka data zote humu ila muhimu kushirikishana uzoefu kwa waliokumbwa na masaibu kama haya na wengine kuchukua TAHADHARI SANA kwa sasa kwani jioni yake kuna tukio kama hili tena nimelisikia tena kafanyiwa mjeda
Hii ni simulizi.......
Nimeingia ATM nataka kutoa pesa anaingia mdada na kuniuliza maswali kadhaa, kwani unatoa fedh nyingi? kitu gani umekwama? nikamjibu hiyo haikuhusu ...nikaingiza kadi yangu ya VISA, najaribu kutoa fedha zinagoma ATM inajibu Transaction declined,
Nikaenda ATM nyingine hali ikawa hivyo hivyo, nikatumia kadi yangu nyingine kutoa pesa nikagundua salio limechotwa sana
Nilipopiga simu benki wakaniamba hizo fedha zilitolewa kwa mafungu ATM fulani, hivyo niende tawi la karibu, nilipofika natoa kadi NAYO siyo ile yangi kwani pale a kwanza nilipokosa nilichomoa tu na kuondoka........na kadi yenyewe mpya kabisa tena ikionesha ni maalum kwa utapeli, bado naendelea kufuatilia................
Kwa sababu uchunguzi unaendele sitaweka data zote humu ila muhimu kushirikishana uzoefu kwa waliokumbwa na masaibu kama haya na wengine kuchukua TAHADHARI SANA kwa sasa kwani jioni yake kuna tukio kama hili tena nimelisikia tena kafanyiwa mjeda