wakusoma
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 1,084
- 1,061
Magari mabovu..hayafai...mnnakodisha kwa wahuni Tuu ..tu..Kama Mwanao anasoma st.Mary's tafadhali fuatilia usafiri wa watoto ni zaidi ya kichefuchefu.
Kibaya zaidi mama rwakatare hajui..wanamficha.ila mama hakika utabeba misalaba ya watoto watu nyie zibeni pamba tu siku likitokea la kutokea tutazaa na nyie
Kibaya zaidi mama rwakatare hajui..wanamficha.ila mama hakika utabeba misalaba ya watoto watu nyie zibeni pamba tu siku likitokea la kutokea tutazaa na nyie