Mjomba wa taifa JF-Expert Member Apr 20, 2012 231 161 Aug 3, 2012 #1 Baada ya kutumia Mahakama kuzima mgomo wa Walimu, sasa walimu wameibuka na style nyingine ya mgomo. Hapa watakaoumia ni watoto wa shule za St. Kayumba. Sijui madaktari nao wataibuka kwa style ipi!!
Baada ya kutumia Mahakama kuzima mgomo wa Walimu, sasa walimu wameibuka na style nyingine ya mgomo. Hapa watakaoumia ni watoto wa shule za St. Kayumba. Sijui madaktari nao wataibuka kwa style ipi!!