achimwenehk
Member
- Jul 28, 2015
- 32
- 16
Wadau,
Nachukua fursa hii kuonyana sisi wenye kada hii inayo husika na kulea na kukuza maadili ya wanafunzi wetu lakini kwa mambo yanayo fanywa na Wakufunzi wenzangu chuo cha St.Agrey Mbeya tuna dhalilisha taaluma zetu.
Tuache kuwalazimisha watoto wa kike kufanya ngono na sisi kwa kuwapa vitisho vya Supp na kuwapiga viboko pale wanapo enda kinyume na matakwa yenu.
Acheni tabia hizi mnaboa kiukweli mwisho wa siku wazazi watakosa imani na Chuo pia na walimu kwa ujumla tujirekebishe pia tukumbuke tumeacha familia nyumbani kwetu tafadhali tuna haribu reputation ya chuo.
Nachukua fursa hii kuonyana sisi wenye kada hii inayo husika na kulea na kukuza maadili ya wanafunzi wetu lakini kwa mambo yanayo fanywa na Wakufunzi wenzangu chuo cha St.Agrey Mbeya tuna dhalilisha taaluma zetu.
Tuache kuwalazimisha watoto wa kike kufanya ngono na sisi kwa kuwapa vitisho vya Supp na kuwapiga viboko pale wanapo enda kinyume na matakwa yenu.
Acheni tabia hizi mnaboa kiukweli mwisho wa siku wazazi watakosa imani na Chuo pia na walimu kwa ujumla tujirekebishe pia tukumbuke tumeacha familia nyumbani kwetu tafadhali tuna haribu reputation ya chuo.