M mzee wa njaa JF-Expert Member Jun 16, 2011 1,366 223 Nov 11, 2011 #21 SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu.
C cielo Senior Member Nov 2, 2011 130 13 Nov 11, 2011 Thread starter #22 mzee wa njaa said: SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu. Click to expand... jamani hizi dharau kwa wanawake em jaribu kuzipunguza, mbona ofisi ambazo kuna wanaume mabosi husemi?
mzee wa njaa said: SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu. Click to expand... jamani hizi dharau kwa wanawake em jaribu kuzipunguza, mbona ofisi ambazo kuna wanaume mabosi husemi?
Revolution JF-Expert Member Feb 28, 2008 789 546 Dec 14, 2011 #24 Wadau tafadhali tuhabarishane...hawa ssra hawajaajiri mpaka leo?