M mzee wa njaa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 1,363 Reaction score 224 Nov 11, 2011 #21 SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu.
C cielo Senior Member Joined Nov 2, 2011 Posts 130 Reaction score 13 Nov 11, 2011 Thread starter #22 mzee wa njaa said: SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu. Click to expand... jamani hizi dharau kwa wanawake em jaribu kuzipunguza, mbona ofisi ambazo kuna wanaume mabosi husemi?
mzee wa njaa said: SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu. Click to expand... jamani hizi dharau kwa wanawake em jaribu kuzipunguza, mbona ofisi ambazo kuna wanaume mabosi husemi?
Biohazard JF-Expert Member Joined Aug 21, 2011 Posts 2,197 Reaction score 1,471 Nov 13, 2011 #23 asanthe
Revolution JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 1,420 Reaction score 1,739 Dec 14, 2011 #24 Wadau tafadhali tuhabarishane...hawa ssra hawajaajiri mpaka leo?