SSH Tafakari kuhusu hili.

kuna watu mnaharibu sifa njema ya taifa letu.
 
Wazanzibar wanakulaga misamaki fln hiv inawajaza ukavu wa hisia, yani cold heart kabisa. Mtakufa wote muishe na hakun mtu atakaejihis ana hatia
 
Na anaye/wanafuata,🤔
 
umemsahau katibu wa ccm.
 
Kwenye Katiba Mpya tuandike ni marufuku Mwanamke kuwa Rais Tanzania, mpaka Dunia itakapoisha.
 
Kwenye Katiba Mpya tuandike ni marufuku Mwanamke kuwa Rais Tanzania, mpaka Dunia itakapoisha.
Hapana, shida ni katiba inapaswa kjwa na mamlaka maalumu ya usimamizi wa misingi ya katiba yenyewe.
Tembelea www.katibampya.com hipo rasimu yenye muundo wa mihimili minne ya kitaifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…