gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Kujitoa uhai kwasababu ya kitu chochote kile kilichoko duniani au umekutana nacho duniani ni ujinga mkubwa sana.Tena huyo kajiua kwa ajili ya kitu ambacho tayari kimeshakufa bila ata kujali ustawi wa watu wengine waliokua wanamtegemea inaonyesha ni jinsi gani alikosa busara.Kufa kupo ila kufa kijinga ni ujinga zaidi.