SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,423
4,491
SSC mnatakiwa kuona namna ambavyo Dar Young Africans wanavyocheza, ni kazi nzuri ya Hersi Said, Injinia.

Kaeni nae chini awape mbinu.

Hata yeye alijifunza kutokana na mafanikio SSC ya kipindi hicho chini ya kina Hans Pope, akajifunza pia namna ya kulobby kupitia kina barbara. Now ni masterminder wa kulobby na sajili za kimkakati, a silent killer.

Jamaa ameshaona sajili za youtube na ten percent hazina ishu tena na anasikiliza kile ambacho kocha ameshauri.

Mkitaka kuona tofauti ya Hersi Said, Injinia na vichwa maji vya msimbazi subirini muone usajili wa dirisha dogo. Mtaelewa what I mean .

Kaeni chini na Hersi Said, Injinia awafundishe namna ya kufanya sajili za kimkakati. Leo hii hata game ikirudiwa, SSC inatobolewa kirahisi tu. Ukuta wa Yanga upo imara, Ukuta wa SSC hauwezi kumzuia Aziz Q, Pacome Misonda etc

Over 5 years mmecheza robo fainal, SSC hamjawahi kucheza nje ya hapo….. a big comfort zone of SSC.

I bet ,Yanga akichomoka group stage , mtamuokota nusu fainal ya CAF , anacho kikosi cha kufanya hivo, na itakuwa ni aibu yenu SSC kutuaminisha for 5 years mfululizo kuwa robo fainal ndio mpango mzima. Shirikisho mnaishia robo fainal na kufa kiume, Yanga akavunja huo mwiko. CAFCL nayo mnaishia robo, na Yanga ndio atavunja huo mwingi this time.


Hongera Hersi Said, Injinia kwa kazi nzuri, kwanza inayoanzia kwenye usajili ambao sio mchongo, hao wengine waache waamini kwenye kupuliza ndumba na kina manula wao.

Wewe fanya kazi, kijana mtanashati, smart and intelligent hakuna mambo ya kuweka tumbo mbele, fundisha hayo mazee ya msimbazi namna ya kufanya kazi as a smart young guy .

Naamini Yanga atacheza nusu fainal, SSC Muishie makundi, maana hata mkitoboa hamtakuwa na impact yoyote, mtakuja kutuambia tu mmekufa kiume.

Tumechoka kusikia huo upupu over 5 years .
 
Usajiri ni kamali hata timu kubwa kama real madrid, maan U man City, arsenal pia zinafeli kwenye usajiri mfano haaaataaaa injinia pia amfeli kwa konkoni, skudu, ngushi, metacha, na yule kipa mwingine
 
Simba hufuatilia tetesi kuwa Yanga wanataka kumsajili mchezaji gani ndipo wanamfuata. Scouting team ya Simba ni ya hovyo sana.
Kuhusu scouting inaebdana na falsafa ya timu na mahitaji ya kocha mfano simba ina falsafa ya pasi fupifupi kuanzia chini ndio maana simba inapoteza sana mipira ya juu kisha unavyo iona yanga inacheza mpira direct ndio maana scouting zinatofautiana
 
Kuhusu scouting inaebdana na falsafa ya timu na mahitaji ya kocha mfano simba ina falsafa ya pasi fupifupi kuanzia chini ndio maana simba inapoteza sana mipira ya juu kisha unavyo iona yanga inacheza mpira direct ndio maana scouting zinatofautiana
Kwaiyo Simba ya Sasa inatumia Falsafa gani? maana hawapo kwenye pasi fupi fupi Wala ndefu!!!
Wamebaki na pila ndumba/ ulozi ambalo nyota ziki goma wanadhalilika, nyota ikiwaka Onana anaonekana Mkali kuliko Chama.
Onana ku kiwasha tena mpaka nyota I wake.
 
Usajiri ni kamali hata timu kubwa kama real madrid, maan U man City, arsenal pia zinafeli kwenye usajiri mfano haaaataaaa injinia pia amfeli kwa konkoni, skudu, ngushi, metacha, na yule kipa mwingine
Beki la CHAN liko wapi sasahivi?
 
SSC mnatakiwa kuona namna ambavyo Dar Young Africans wanavyocheza, ni kazi nzuri ya Hersi Said, Injinia.

Kaeni nae chini awape mbinu.

Hata yeye alijifunza kutokana na mafanikio SSC ya kipindi hicho chini ya kina Hans Pope, akajifunza pia namna ya kulobby kupitia kina barbara. Now ni masterminder wa kulobby na sajili za kimkakati, a silent killer.

Jamaa ameshaona sajili za youtube na ten percent hazina ishu tena na anasikiliza kile ambacho kocha ameshauri.

Mkitaka kuona tofauti ya Hersi Said, Injinia na vichwa maji vya msimbazi subirini muone usajili wa dirisha dogo. Mtaelewa what I mean .

Kaeni chini na Hersi Said, Injinia awafundishe namna ya kufanya sajili za kimkakati. Leo hii hata game ikirudiwa, SSC inatobolewa kirahisi tu. Ukuta wa Yanga upo imara, Ukuta wa SSC hauwezi kumzuia Aziz Q, Pacome Misonda etc

Over 5 years mmecheza robo fainal, SSC hamjawahi kucheza nje ya hapo….. a big comfort zone of SSC.

I bet ,Yanga akichomoka group stage , mtamuokota nusu fainal ya CAF , anacho kikosi cha kufanya hivo, na itakuwa ni aibu yenu SSC kutuaminisha for 5 years mfululizo kuwa robo fainal ndio mpango mzima. Shirikisho mnaishia robo fainal na kufa kiume, Yanga akavunja huo mwiko. CAFCL nayo mnaishia robo, na Yanga ndio atavunja huo mwingi this time.


Hongera Hersi Said, Injinia kwa kazi nzuri, kwanza inayoanzia kwenye usajili ambao sio mchongo, hao wengine waache waamini kwenye kupuliza ndumba na kina manula wao.

Wewe fanya kazi, kijana mtanashati, smart and intelligent hakuna mambo ya kuweka tumbo mbele, fundisha hayo mazee ya msimbazi namna ya kufanya kazi as a smart young guy .

Naamini Yanga atacheza nusu fainal, SSC Muishie makundi, maana hata mkitoboa hamtakuwa na impact yoyote, mtakuja kutuambia tu mmekufa kiume.

Tumechoka kusikia huo upupu over 5 years .
Wekeni akiba ya maneno
 
Kuhusu scouting inaebdana na falsafa ya timu na mahitaji ya kocha mfano simba ina falsafa ya pasi fupifupi kuanzia chini ndio maana simba inapoteza sana mipira ya juu kisha unavyo iona yanga inacheza mpira direct ndio maana scouting zinatofautiana
Mbona kama umeongea vice-versa
Ni timu ipi inacheza direct football na pass fupi ?
 
SSC mnatakiwa kuona namna ambavyo Dar Young Africans wanavyocheza, ni kazi nzuri ya Hersi Said, Injinia.

Kaeni nae chini awape mbinu.

Hata yeye alijifunza kutokana na mafanikio SSC ya kipindi hicho chini ya kina Hans Pope, akajifunza pia namna ya kulobby kupitia kina barbara. Now ni masterminder wa kulobby na sajili za kimkakati, a silent killer.

Jamaa ameshaona sajili za youtube na ten percent hazina ishu tena na anasikiliza kile ambacho kocha ameshauri.

Mkitaka kuona tofauti ya Hersi Said, Injinia na vichwa maji vya msimbazi subirini muone usajili wa dirisha dogo. Mtaelewa what I mean .

Kaeni chini na Hersi Said, Injinia awafundishe namna ya kufanya sajili za kimkakati. Leo hii hata game ikirudiwa, SSC inatobolewa kirahisi tu. Ukuta wa Yanga upo imara, Ukuta wa SSC hauwezi kumzuia Aziz Q, Pacome Misonda etc

Over 5 years mmecheza robo fainal, SSC hamjawahi kucheza nje ya hapo….. a big comfort zone of SSC.

I bet ,Yanga akichomoka group stage , mtamuokota nusu fainal ya CAF , anacho kikosi cha kufanya hivo, na itakuwa ni aibu yenu SSC kutuaminisha for 5 years mfululizo kuwa robo fainal ndio mpango mzima. Shirikisho mnaishia robo fainal na kufa kiume, Yanga akavunja huo mwiko. CAFCL nayo mnaishia robo, na Yanga ndio atavunja huo mwingi this time.


Hongera Hersi Said, Injinia kwa kazi nzuri, kwanza inayoanzia kwenye usajili ambao sio mchongo, hao wengine waache waamini kwenye kupuliza ndumba na kina manula wao.

Wewe fanya kazi, kijana mtanashati, smart and intelligent hakuna mambo ya kuweka tumbo mbele, fundisha hayo mazee ya msimbazi namna ya kufanya kazi as a smart young guy .

Naamini Yanga atacheza nusu fainal, SSC Muishie makundi, maana hata mkitoboa hamtakuwa na impact yoyote, mtakuja kutuambia tu mmekufa kiume.

Tumechoka kusikia huo upupu over 5 years .
Uko sahihi 100% wale mabwana wamebaki kuiba wachezaji airport Kama wanavyojinasibu, wachezaji wenyewe wanaoibiwa Sasa ni Kama nyanya za nyongeza sokoni!
Uwezi kuwa na timu imara Kama una watu wa dizaini iyo ya kwenda kukaa airport eti wamuibe mchezaji ni uayawani wa kiwango Cha lami, badala ya kufanya scout wao wamebaki kupiga propaganda uchwara ambazo aziendani na uhalisia, Mwenzao Eng.Hersi anafanya vitendo viongee na sio maneno ya mitandaoni na kwenye magazeti, Hersi anaweza akaferi kwenye scout lakini ni kwa asilimia ndogo ukilinganisha na alichofanikiwa, angalia upande wa pili Sasa ni majanga wamejaa pale wazee wa 10% wanakwenda kuleta vibonge kina miksoni kwa mbwembwe Tena kwa gharama kubwa kufurahisha genge la umbumbuni but anachokitoa ni aibu ya Karne!
 
Usajiri ni kamali hata timu kubwa kama real madrid, maan U man City, arsenal pia zinafeli kwenye usajiri mfano haaaataaaa injinia pia amfeli kwa konkoni, skudu, ngushi, metacha, na yule kipa mwingine

Stop excuses
Learn how to take responsibility
 
Nasikia wakitoboa wanakutana na MAMELODI teh
Hizo ni timu tishio kwa Yanga tu kwa Simba ndiyo tunawataka hao kama Al Ahly, Mamelody, Wydad, Al Hilal na timu kubwa ili tujue tumefanikiwa kivipi kisoka. Yanga imechukua miaka 25 kuingia kwenye makundi ya champion League kwahiyo bado watoto.
Yanga ukiwauliza ni timu gani kubwa ambayo umeifunga watakuambia TP Mazembe, uliifunga ulikutana nayo wapo watakuambia shirikisho 😁😁😁😁😁
Yanga wanatamani wacheze hata na Ndanda kama inawezekana ili waingie fainali ya Champion League. Al Ahly anawasubiri kwao😁😁😁😁😁
 
Ameheza fainal shirikisho na atachheza nusu fainal CAFCL
😁😁😁😁😁😁
Kama Al Ahly, Wydad, Mamelod na Al Hilal msimu uliopita wangecheza shirikisho na kuchukua kombe basi hakika kuna watu wangefukuzwa kazi.
Timu changa kisoka kucheza shirikisho mpaka fainali ni mafanikio makubwa sana
 
Waige kwa uto kwani uto wamefanikiwa nini??
Unaiga kwa aliyefanikiwa sio ambaye hajafanikiwa vinginevyo utakua mburura.
20231216_224337.jpg

Kiburi na jeuri ndo imefanya mmekufa kibudu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom