Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Tunaofatilia mjadala wa mahakama ya kadhi au OIC tunaona kwamba ss huingilia kati hasa pale mbunge anapomuuliza waziri mkuu wa swala la papo kwa papo au hata waziri wa sheria alipoulizwa ss huingilia kati na kujibu yeye badala ya muhusika. jee ss anahofia nini? jee ni haki kufanya hivyo kwanini SS asimuachie waziri muhusika. jee ss atamjibia Membe kuhusu Oic. NATOIA HOJA