SS itabidi awe makini sana na bunge lijalo km ataukwaa tena uspika. Maana kuna vipindi alikuwa naye akivaa KOTI LA SERIKALI na kuwauma wabunge. Mchakato wa kumchagua spika nadhani ungeboreshwa na ikiwezekana atokee spika ambaye si mbunge. Mbunge akiwa spika anapoteza nafasi yake ktk kutetea hoja na kutetea maslahi ya jimbo lake.