Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Akihojiwa na ITV baada ya kutangazwa mshindi wa ubunge kwenye jimbo la Sikonge aliyekuwa Spika wa bunge SS ameuponda utaratibu wa NEC wa kuchelewesha matokeo kwa kisingizio cha teknolojia mpya, amesema si wengi wanaweza kuutumia hasa maeneo ya vijijini.
Amesema kuchelesha matokeo ni kuongeza usumbufu usio na ulazima na kuongeza tension za bure kwa wananchi hasa kwa wagombea wenyewe. Amesema endapo atafanikiwa kukitetea kiti chake cha uspika ambacho amesema atachukua fomu muda ukifika atajaribu kulivalia njuga suala hili la urasmu.
Amesema kuchelesha matokeo ni kuongeza usumbufu usio na ulazima na kuongeza tension za bure kwa wananchi hasa kwa wagombea wenyewe. Amesema endapo atafanikiwa kukitetea kiti chake cha uspika ambacho amesema atachukua fomu muda ukifika atajaribu kulivalia njuga suala hili la urasmu.