Sri Lanka yaishiwa mafuta ya petroli

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Waziri wa Nishati, Kanchana Wijesekera amesema Taifa hilo lina Petroli ya kutosha siku isiyozidi moja kwa mahitaji ya kawaida. Wiki iliyopita, Taifa hilo linalokabiliwa na mdororo mbaya wa kiuchumi lilisitisha mauzo ya Petroli na Dizeli kwa baadhi ya Magari

Kwa Mujibu wa Waziri huyo, Tani 12,774 za Dizeli na 4,061 za Petroli zimesalia katika Hifadhi. Petroli nyingine inatarajiwa kati ya Julai 22 - 23, lakini Nchi hiyo haina Fedha za kutosha kulipia Mafuta hayo

========

Sri Lanka's energy minister has issued a stark warning over the country's fuel stocks as it faces its worst economic crisis in more than 70 years.

On Sunday, Kanchana Wijesekera said the nation only had enough petrol left for less than a day under regular demand.

He also said its next petrol shipment was not due for more than two weeks.

Last week, Sri Lanka suspended sales of petrol and diesel for non-essential vehicles as it struggles to pay for imports like fuel, food and medicines.

Mr Wijesekera told reporters that the country had 12,774 tonnes of diesel and 4,061 tonnes of petrol left in its reserves.

"The next petrol shipment is expected between the 22nd and 23rd [of July]," he added.

A shipment of diesel is expected to arrive at the weekend, however Mr Wijesekera warned that the country does not have enough money to pay for planned fuel and crude oil imports.

He said Sri Lanka's central bank could only supply $125m for fuel purchases, far less than the $587m needed for its scheduled shipments.

Mr Wijesekera added that the country owed $800m to seven suppliers for purchases it made earlier this year.

It came after Sri Lanka banned sales of fuel for private vehicles until next week.

Experts believe it is the first country to take the drastic step of halting sales of petrol to ordinary people since the 1970s oil crisis, when fuel was rationed in the US and Europe.

The island nation of 22 million people is facing its worse economic crisis since gaining independence from the UK in 1948 as it lacks enough foreign currency to pay for imports of essential goods.

Acute shortages of fuel, food and medicines have helped to push up the cost of living to record highs in the country, where many people rely on motor vehicles for their livelihoods.

Last Thursday, an International Monetary Fund team concluded a fresh round of talks with Sri Lanka over a $3bn (£2.5bn) bailout deal.

While no agreement has been reached yet, the team said in a statement that it had made "significant progress on defining a macroeconomic and structural policy package".

It added that it had "witnessed some of the hardships currently faced by the Sri Lankan people, especially the poor and vulnerable who are affected disproportionately by the crisis".

The cash-strapped country has also sent officials to the major energy producers Russia and Qatar in a bid to secure cheap oil supplies.
 
Economic crisis inawapiga vibaya mno, the country is out of foreign currency na inflation rate yao kwa sasa ni zaidi ya 50%.
 
Chanzo nini?

Nilisoma mahala, inasemekana ni kwa sababu ya mambo mengi ikiwemo:-

Kupunguzwa kwa ushuru

Sera ya kitaifa ya kuhamia kilimo cha kibaolojia

Milipuko ya Pasaka mnamo 2019

Athari za janga la COVID-19.

Na issue ya money creation
 
Ukiachana na issue ya petrol

Nchi imefirisika imeshindwa hata kulipa mishahara ya watumishi wa umma, serikali imelazimika kuprint pesa kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi, kitu ambacho ni hatari zaidi kwenye uchumi.
 
Ukiachana na issue ya petrol

Nchi imefirisika imeshindwa hata kulipa mishahara ya watumishi wa umma, serikali imelazimika kuprint pesa kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi, kitu ambacho ni hatari zaidi kwenye uchumi.
Hatari ya kuprinti pesa ni ipi?
 
Hatari ya kuprinti pesa ni ipi?

Kuongezeka kwa usambazaji wa pesa kwa kawaida hupunguza viwango vya riba kitu ambacho huweka pesa zaidi mikononi mwa watumiaji, na hivyo kuchochea matumizi zaidi. Mahitaji/matumizi yakiwa makubwa kuliko uzalishaji, mfumuko wa bei utazidi kuongezea maradufu.
 
Waziri wa Nishati, Kanchana Wijesekera amesema Taifa hilo lina Petroli ya kutosha siku isiyozidi moja kwa mahitaji ya kawaida. Wiki iliyopita, Taifa hilo linalokabiliwa na mdororo mbaya wa kiuchumi lilisitisha mauzo ya Petroli na Dizeli kwa baadhi ya Magari

Kwa Mujibu wa Waziri huyo, Tani 12,774 za Dizeli na 4,061 za Petroli zimesalia katika Hifadhi. Petroli nyingine inatarajiwa kati ya Julai 22 - 23, lakini Nchi hiyo haina Fedha za kutosha kulipia Mafuta hayo

========

Sri Lanka's energy minister has issued a stark warning over the country's fuel stocks as it faces its worst economic crisis in more than 70 years.

On Sunday, Kanchana Wijesekera said the nation only had enough petrol left for less than a day under regular demand.

He also said its next petrol shipment was not due for more than two weeks.

Last week, Sri Lanka suspended sales of petrol and diesel for non-essential vehicles as it struggles to pay for imports like fuel, food and medicines.

Mr Wijesekera told reporters that the country had 12,774 tonnes of diesel and 4,061 tonnes of petrol left in its reserves.

"The next petrol shipment is expected between the 22nd and 23rd [of July]," he added.

A shipment of diesel is expected to arrive at the weekend, however Mr Wijesekera warned that the country does not have enough money to pay for planned fuel and crude oil imports.

He said Sri Lanka's central bank could only supply $125m for fuel purchases, far less than the $587m needed for its scheduled shipments.

Mr Wijesekera added that the country owed $800m to seven suppliers for purchases it made earlier this year.

It came after Sri Lanka banned sales of fuel for private vehicles until next week.

Experts believe it is the first country to take the drastic step of halting sales of petrol to ordinary people since the 1970s oil crisis, when fuel was rationed in the US and Europe.

The island nation of 22 million people is facing its worse economic crisis since gaining independence from the UK in 1948 as it lacks enough foreign currency to pay for imports of essential goods.

Acute shortages of fuel, food and medicines have helped to push up the cost of living to record highs in the country, where many people rely on motor vehicles for their livelihoods.

Last Thursday, an International Monetary Fund team concluded a fresh round of talks with Sri Lanka over a $3bn (£2.5bn) bailout deal.

While no agreement has been reached yet, the team said in a statement that it had made "significant progress on defining a macroeconomic and structural policy package".

It added that it had "witnessed some of the hardships currently faced by the Sri Lankan people, especially the poor and vulnerable who are affected disproportionately by the crisis".

The cash-strapped country has also sent officials to the major energy producers Russia and Qatar in a bid to secure cheap oil supplies.
Ndio ujue uzuri wa Bandari ya ".........
 
Back
Top Bottom