Huyu jamaa anashangaa covert operations za taifa ndan ya taifa,hata isil wanafanya covert operations na wanafanikiwa,hii inshu hahitak uwe professional spies,bal binadam yoyote akiweka dhamira ya kufanya jambo,akajipa muda na dedication lazma afanikiwe,intelligence operations znakuwa affected na human error, huwez kuzuia human error at 100%,that's why hata tz ikiamua inaweza kupenya USA na kufanya operations, kumbuka even Rwanda huwa anafanya yake mpaka ulaya