Sports Extra ya Clouds Fm

jamaa wako vizuri kwa kipindi chao unachotakiwa kujua ni kwamba they based much on analysis rather than presenting sports events ndomana story zinakuw nyingi coz kila m2 anajaribu kutoa facts
 
kwa tanzania sports extra wapo juu katika kuelezea habari za michezo..! Over
 
HAwafikii wakina edo na ally mayai.wale wahadithia hawana uwezo wa kuchambua
 
jamaa wako vizuri kwa kipindi chao unachotakiwa kujua ni kwamba they based much on analysis rather than presenting sports events ndomana story zinakuw nyingi coz kila m2 anajaribu kutoa facts


sioni kitu cha kuongeza hili ndio jibu la swali.
 
Aah me napendaga maswali ya kitenge na katanga muulize ndolanga anawajua hawa jamaa Radio1..mbona unapepesaa
 
Dah,kamanda umeniacha hoi baada ya kumtaja Mbwiga,uyu jamaa wamemuokota wapi cjui, huwa simuewi elewi kabisa.Alafu na tamasha lao la kamata fursa upuuzi mtupu.Wao walifanya lini utafiti na kung'amua izo fursa?wamejigeuza wataalamu wakati shule amna kichwani.
 

you have personal conflict with clouds media
 
si hao tu yani karibu mipindi yao yote ya claus fm,vya kuongea huwa vinaibuka tuu.hasa kipindi cha jahazi yani ndo hadi yaboa,aaaaaaargghhh....

Hawa ndiyo tatizo sana. Wanajifanya wanajua wakati wanachoongea ni upuuzi tu. Mara nyingi tu WANATUKANA.
 
Nimefuatilia huu uzi kwa makini sana nimegundua clouds fm ina wasikilizaji wengi saaaaana!! Wote tunaochangia humu kwa namna moja au nyingine ni wasikilizaji wa radio hii, coz huwezi kuponda au kusifia kama huisikilizi. Lakini mbali na hayo... lazima wale mnaoponda mtambue kuwa hizi ni zama za kisasa, hawa jamaa si kwamba hawana mpangilio wanapoingia kwenye vipindi vyao, ni style tu ya ku-present... unakuwa na mada mezani then unaanza na porojo mbalimbali mpaka unakuja kuhit mada ktk muda uliopanga!! Acheni kubweteka na formalities zilizopitwa na wakati. But, binadamu kama binadamu kila mmoja wetu ana mapungufu yake... Shafii Dauda ana tatizo la matumizi ya "R" na "L". Mimi binafsi napata shida sana nikisikia mtu anayechanganya herufi hizi yaana badala ya kusema (mfano): Mrisho Ngassa mtu anasema Mlisho Ngassa!!.. huwa napata hasira hapohapo. Sasa hili kwa shafii ni tatizo, lakini mambo mengine clouds wako pouwa sana.. Mkumbuke tu hii ni radio ya burudani na si radio ya kuwafanya watangazaji wawe serious kiivyo!! Sikiliza XXL ndio utatambua what am talking about... ni story tu lakini wako organised!! JAMANI NI MAONI TU, NOTHING PERSON!!
 
Duh....kuna watu mnafukua makaburi balaa. Jamaa kanipa like leo wakati inshu ni ya 2012.

Miaka 6 nyuma huko, siamini kama ni mie ndio nilitoa povu lote hilo.
 
Kwelii binadam tunatofautiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…