Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,961
- 3,592
Mada ubaoni ni kuhusu pesa za dharura ya Corona kwa ajili ya kubust ligi za nchi kutoka FIFA kwenda kwa TFF.
TFF kama shirikisho la soka Tanzania wanagoma kuwapa pesa Zanzibar.
Hoja kubwa kisiasa Zanzibar ni nchi ila kisoka Zanzibar ni kama mkoa.
Wanzazibar walioko nje ya nchi wanachangia shit ile mbaya, Adam Natepe wa zenji amechachamaa kwamba kwenye katiba ya TFF, ZFF inatakiwa wapewe mpunga.
Mjadala ni mkali, wako hewani saahizi kupitia 88.9 wameshahama kutoka kwenye soka sasa wanazungumza siasa.
Muungano ni pasua kichwa, anasikika Mzanzibar mmoja kutoka Instagram.
TFF kama shirikisho la soka Tanzania wanagoma kuwapa pesa Zanzibar.
Hoja kubwa kisiasa Zanzibar ni nchi ila kisoka Zanzibar ni kama mkoa.
Wanzazibar walioko nje ya nchi wanachangia shit ile mbaya, Adam Natepe wa zenji amechachamaa kwamba kwenye katiba ya TFF, ZFF inatakiwa wapewe mpunga.
Mjadala ni mkali, wako hewani saahizi kupitia 88.9 wameshahama kutoka kwenye soka sasa wanazungumza siasa.
Muungano ni pasua kichwa, anasikika Mzanzibar mmoja kutoka Instagram.