Sportpesa

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,633
Reaction score
38,733
Jamani kuna ujio wa hii kampuni moya ya wacheza kamari maarufu kama sportpesa,hizi kampuni huwa zinatoa fursa za ajira sana nchini haswa pale wanapofungua matawi mbalimbali nchini[bet shops].

Sijasikia sehemu yoyote hawa jamaa walikotangaza ajira nimejiuliza wametoka nawafanyakazi wao huko kenya? Au hawajaanza kuoperate official?

Mwenye kujua zaid atujuze
 
Endelea kubet online tu..mambo yatakaa sawa
 

Wameshawapata tayari Wafanyakazi wao wa Kutukuka kabisa ambao ni Simba, Yanga na Singida United Mkuu hivyo wameshajitosheleza.
 
Abbas Tarimba Abbas ambaye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Bahati Nasibu ya Taifa (Gaming Board of Tanzania) ndo mkurugenzi mkuu wa Sportspesa, fanya mawasiliano naye.
 
nahisi wataendesha shughuli yao km m bet wanavobet online au kwa apps
 
Sportpesa wanapatikana karibu na coco beach kwenye jengo ambalo kuna benki ya fnb.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…