SPORTPESA SUPER CUP SPECIAL THREAD: Taarifa za Mechi zote na matokeo yote mpaka Ubingwa

Dk 84 1-0

Gor mahia anaongoza
3e069e5902f8f10d9cba67a5812ab668.jpg
 
Simba hawajacheza vizuri hasa beki na ushambuliaji. Atanasi hafai kabisa kwa anavyokosa magoli kila siku. Simba wanatakiwa kuwa na mtu mwenye uwezo wa kufunga. Aidha vijana wapya wameweza kucheza vizuri kwenye nafasi zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom