Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
- Thread starter
- #121
Dk 84 1-0
Gor mahia anaongoza
Gor mahia anaongoza
Chanel gani inaonyesha vizuri?Dk 19
0-0
Mikia hawatoki leoTunawasubiri wazee wa matopeni,lazima watoe boko hahahaaa
Ya Mengi....Chanel gani inaonyesha vizuri?
Itv watakuwa wamechangia, simba tumezoea kapeti hata kwenye tv mpira uonyeshwe vizuri ndo tunapiga soka, itv wamechemsha, yaani hamna mzuka kabisa kuangalia ktk tv.Mikia hawatoki leo
Subiri ufungwe ndo utaelewa kuwa unachez na tim ya daraja la kwanz au la kumiKumbe tunacheza na timu daraja la kwanza