Sponsor please msaada

Sponsor please msaada

mtabe Jr

Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
41
Reaction score
11
Mimi ni kijana nina elimu ya kidato cha sita kwa ufaulu div 1 ya 9 PCB ila nilikosa mkopo mwaka jana (2016) nikiwa mwaka wa kwanza hivyo nikasitisha chuo naomba msaada niweze endelea na masomo .Ahsante
 
Nakushauri tafuta vyuo vya nje kwa marks hizo utapata scholarship
 
Hapo napo panahitaji uelewa mpana na guidence, na hela ya visa, passport nk
Ni kweli lakini kumtegemea huyu ndg na Bashite ni risk kubwa sana unaweza poteza direction
 
Nikipata full scholarship ntashukuru zaidi sina baba, mama yu kijijini da ni majanga ndugu sina uwezo wa kujisomesha yan
Mkuu bila shaka wewe mtoto wa kiume..yaani komaa haya maisha hayana formulae sometimes nenda hata kwenye balozi za china, south Korea, USA unaweza pewa jibu positive or negative lakini usijali hapo ni kufight tu... ila hapa bongo wachache sana wanaweza kukuelewa
 
Mkuu bila shaka wewe mtoto wa kiume..yaani komaa haya maisha hayana formulae sometimes nenda hata kwenye balozi za china, south Korea, USA unaweza pewa jibu positive or negative lakini usijali hapo ni kufight tu... ila hapa bongo wachache sana wanaweza kukuelewa
Yan mkuu nifatilia Balozi nyingi kwa sasa zikiwemo Italy,France,USA ,
UAE,CUBA,QATAR , SOUTH KOREA, na zingine ila kwa sasa hazina scholarship za undergraduate
 
aisee... sasa kama inafaa kasomee ufundi/fani iliyo na ada chini ya hiyo uliyosomea
 
Back
Top Bottom