Keki zipo za aina nyingi, next time fafanua aina ya keki unayotaka tafadhali.
Keki iliyo rahisi ni hii Spong Cake Maitaji/Vifaa
EGGS .............................. 5
SUGAR ............................ 1 kikombe cha robo lita
Siagi................................¼ Kg
Vanilla................................ Vijiko 2 vya chai
Unga wa Ngano.................. vijiko vya chakula10
Barking Powder................... vijiko vya chai 2
Zabibu kavu......................... ½ kikombe cha robo lita (si lazima)
Jinsi ya kutayarisha:
Tia mayai na sukari kwenye blender saga mpaka iwe nyeupe (laini) kisha tia siagi (i.e Tan Bond or Blue Band) endelea kusaga mpaka iwe laini kabisa tia zabibu ¼ cup, baking powder, vanilla,and cocoa (Ukipenda) endelea kusaga halafu mwisho utatia unga vijiko 5 utamalizia kuchanganya kwenye bakuli sababu blender halitosaga kisha tia kwenye trea ya kuokea na juu utatia zabibu Kisha utaoka.
Jinsi ya kujuwa kama keki ipo tayari ni kuingiza kijiti kwenye keki na kikitoka na mchanganyiko unao nata ujuwe bado, ila kikitoka kikavu basi keki yako ipo tayari, pia hata rangi ya nje utaiona imebadirika.
X-PASTER hapo kwenye siagi sidhani kama ni sahihi sponge cake au fatless cake kwa jina lingine huwa haitaji fat na vipimo vyake vinakuwa katika proportion sawa kwa kuongezea unga unatakiwa uwe soft kwa kuwa hakuna raising agent inayotumika na muda wa kubake huwa dk nane hadi 15 ni hayo machache ya kuongezea na kama utaamua kuweka cocoa weka kiasi saw na unga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.