Spong Cake

Msaada please namna ya kupika cake!!
Keki zipo za aina nyingi, next time fafanua aina ya keki unayotaka tafadhali.

Keki iliyo rahisi ni hii Spong Cake

Maitaji/Vifaa


EGGS .............................. 5
SUGAR ............................ 1 kikombe cha robo lita
Siagi................................¼ Kg
Vanilla................................ Vijiko 2 vya chai
Unga wa Ngano.................. vijiko vya chakula10
Barking Powder................... vijiko vya chai 2
Zabibu kavu......................... ½ kikombe cha robo lita (si lazima)

Jinsi ya kutayarisha:
Tia mayai na sukari kwenye blender saga mpaka iwe nyeupe (laini) kisha tia siagi (i.e Tan Bond or Blue Band) endelea kusaga mpaka iwe laini kabisa tia zabibu ¼ cup, baking powder, vanilla,and cocoa (Ukipenda) endelea kusaga halafu mwisho utatia unga vijiko 5 utamalizia kuchanganya kwenye bakuli sababu blender halitosaga kisha tia kwenye trea ya kuokea na juu utatia zabibu Kisha utaoka.

Jinsi ya kujuwa kama keki ipo tayari ni kuingiza kijiti kwenye keki na kikitoka na mchanganyiko unao nata ujuwe bado, ila kikitoka kikavu basi keki yako ipo tayari, pia hata rangi ya nje utaiona imebadirika.

Enjoy.
 
thanx a lot mkuu for this useful thread,am gonna use this together with my lovely wife and we'll come with feedback. by the way you deserve a like.
 
hapo kwenye vijiko, mbona umeweka vi5 badala ya kumi tena? au unaweka nusu yake ,pls nieleweshe my dia, maana ndo najiandaa nikabake hahahah
 
X-PASTER hapo kwenye siagi sidhani kama ni sahihi sponge cake au fatless cake kwa jina lingine huwa haitaji fat na vipimo vyake vinakuwa katika proportion sawa kwa kuongezea unga unatakiwa uwe soft kwa kuwa hakuna raising agent inayotumika na muda wa kubake huwa dk nane hadi 15 ni hayo machache ya kuongezea na kama utaamua kuweka cocoa weka kiasi saw na unga
 
Back
Top Bottom