johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Nimesoma kidogo kuhusu kazi za bunge la JMT ambapo miongoni mwa kazi hizo ni Kutunga sheria na Kuishauri serikali.
Spika ndiye kiongozi mkuu wa bunge la JMT.
Je, Spika ndiye mshauri mkuu wa Rais kama kiongozi mkuu wa serikali?
Majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
cc: Pascal Mayalla!
Spika ndiye kiongozi mkuu wa bunge la JMT.
Je, Spika ndiye mshauri mkuu wa Rais kama kiongozi mkuu wa serikali?
Majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
cc: Pascal Mayalla!